and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,225
- 39,705
Wewe abiria unajua kabisa kesho nasafiri muda fulani na ninatakiwa reporting time airport masaa 2 kabla lakini cha ajabu unajichelewesha mpaka ndege inakuacha.
Tiketi yenyewe umelipiwa ukishachelewa sasa ni kuanza usumbufu kwa aliyekulipia eti akulipie tiketi nyingine.
Not fair hasa wadada.
Tiketi yenyewe umelipiwa ukishachelewa sasa ni kuanza usumbufu kwa aliyekulipia eti akulipie tiketi nyingine.
Not fair hasa wadada.