Abiria unachelewaje Ndege (check-in) Airport?

Abiria unachelewaje Ndege (check-in) Airport?

Ni kweli mkuu lakini kitu kama hiki nilikutana nacho KIA.........ndio maana nikatoa mchango
huo............


He he he.. I know hizi local airport zetu bado sana, sijui wanaogopa expenses au they are simply lazy, in fact huku kwa wenzetu I always check in online najichagulia mpaka seat nikifika airport naenda moja kwa moja kwenye line ya security check unakuwa umesave muda kibao!!
 
watu wengi ni wazembe wanadhani ndege ni ule ule uswahili wa pale UBUNGO BUS TERMINAL wa mabasi kuokoteza abiria
 
Mswahili ni mswahili tu na hapo amechelewa bado atagombeza wale wahudumu wa kaunta as if wao ndo walimuambia achelewe
 
La muhimu ni kupanga mapema vitu/ratiba yako kwa kuwa unajua unasafiri muda/siku fulani, na kujipa muda wa kutosha wa njiani
 
inakuwa bahati mbaya boda nao sometimes inakuchelewesha
 
mkuu umenikumbusha mbali sana,siku ya kwanza kuachwa nililia balaa,nilipiga mayowe utadhani nimefiwa na wazazi,ilibidi wale customer care staff swissport watumie muda mwingi kunituliza,ilikuwa the first time naenda nje ya africa,dah,kitu emirates kikasepa kikaniacha.nilikuwa naona soo hata kurudi home,japokuwa nilisafiri the next day.aisee,kumi na mbili kamili alfajiri nilikuwa tayari airport kwa safari ya saa kumi unusu jioni.
dah nikikumbuka huwa nacheka mwenyewe.yaani airport ilisimama kwa mshangao wa kilio changu but kidume mpaka leo hii nimeshapata masomo ya kutosha kuhusu usafiri wa anga

Aaaaa,nacheka hapa,unaondoka kumi jioni,unaenda eapoti 12 alfajir,we hatar
 
Dah ingekuwa unaweza ifukuzia ndege poa sana. Inakuacha Ubungo unafukuzia mpaka Msamvu! Inakuacha dar inaenda Algeria unaikuta Qatar on transit to Algers.
 
Ushauri wa bure.....

Kwa wale ambao hamjazoea usafiri wa anga...

Anzeni kujizoelesha na hizi fastjet zetu....siku ukiwa upo Amsterdam inakuwa nafuu....

ila sijamaanisha fastjet Ndo mchelewe...
 
ha ha ha mi nimeachwa mara kibao ila nyingi zilikuwa ni ndoto. Ila napataga presha sana lets say check time inaanza in 30 minutes time halafu nipo lets say Tabata. Halafu mvua inanyesha na kuna bonge la foleni. Kupita njia ya Segerea naluwa na hofu naweza nisilikute daraja. Ila huwa nawahi hata hivyooo
 
Hahahahahaha lol! nimecheka sana kama nakuona vile kidume ukiangusha kilio cha nguvu mpaka Airport yote isimamme.

mkuu umenikumbusha mbali sana,siku ya kwanza kuachwa nililia balaa,nilipiga mayowe utadhani nimefiwa na wazazi,ilibidi wale customer care staff swissport watumie muda mwingi kunituliza,ilikuwa the first time naenda nje ya africa,dah,kitu emirates kikasepa kikaniacha.nilikuwa naona soo hata kurudi home,japokuwa nilisafiri the next day.aisee,kumi na mbili kamili alfajiri nilikuwa tayari airport kwa safari ya saa kumi unusu jioni.
dah nikikumbuka huwa nacheka mwenyewe.yaani airport ilisimama kwa mshangao wa kilio changu but kidume mpaka leo hii nimeshapata masomo ya kutosha kuhusu usafiri wa anga
 
Back
Top Bottom