Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,884
Uuwiiii! Mi mnyamwezi wa watu nitatia aibu siku hiyo ya safari yangu kwa Obama,sasa hizo check-in, sijui ma-boarding gates...sasa kama hawaandiki popote utajuaje kuwa unatakiwa utumie gate flani ili uende check-in sijui nyingine...hapo inakuwaje kwa mgeni,utafaham vipi hiyo issue
Unaunganishia wapi mkuu.........?.......lete uwanja upewe ramani..........