Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Mi nshaachwa na ndege ka mara mbili...ya kwanza ni transportation ilisumbua coz nilitoka mji tofauti kwenda mji mwengine airport ikiisha sehem yenyewe mi mgeni halafu ucku kabla nilikesha harusini na nilitakiwa nirudi nxt day niripoti kazini na hakuna wakunisindikiza kila mtu na hangover zake siku nililaani hio maana ndege ilikuwa haijatake off lkn wakanigomea kabisa ila baadae nilipokuja kuwaeleza kazini kilichojiri walicheka mnooo na pole nyingi!! Kipindi naenda harusini sasa mabegi yote hayakufika ontime sijui waliyakwamisha wapi dah na miparo yote iko mabegini yaani safari ile ilikuwa gundu tupu.Siku nyingine tena ilikuwa ka nuksi zimepandikizana si muda mrefu baada ya trip ya mwanzo nikachanganya masaa nikasoma lisaa limoja nyuma tofauti na muda sahihi....again nikafika airport ndege ipo lkn wakanigomea kucheck in coz ilikuwa boarding time...hii inatokea sana!