Abiria unachelewaje Ndege (check-in) Airport?

Abiria unachelewaje Ndege (check-in) Airport?

Kama mtu unajua unasafiri si unaweka documents zako pamoja vizuri kabla ya safari..........? Check in masaa mawili kabla.

Nini kinashindikana hapo sasa?
 
Mkuu, suala la kuchelewa kucheck ini lina sababu nyingi mkuu mojawapo ni uzembe.

Hili la uzembe sitalizungumza. Ila sababu nyingine ni uzoefu wa kusafiri, hili la uzoefu lina side mbili. Kwanza, ukiwa umezoea kusafiri kuna ile over confidence ambayo mwisho wa siku mtu anajikuta amechelewa.

Pili, ni kama si mzoefu na usafiri hasa katika kujua taratibu za safari na pia ugeni wa miundo mbinu. Hili la ugeni lipo applicable hasa kwa airport za wenzetu ambazo miundo mbinu yake kama ni "wakuja" unaweza ukajikuta unazunguka humo humo masaa mawili mpaka ukijakaa sawa ndege imekuacha.
 
Mlipie tu Best, ila punguza kule kwenye Mpunga wa AFTER SERVICE DELIVERY (ASD)
 
Mkuu, suala la kuchelewa kucheck ini lina sababu nyingi mkuu mojawapo ni uzembe. Hili la uzembe sitalizungumza. Ila sababu nyingine ni uzoefu wa kusafiri, hili la uzoefu lina side mbili. Kwanza, ukiwa umezoea kusafiri kuna ile over confidence ambayo mwisho wa siku mtu anajikuta amechelewa.

Hao wazoefu ndio wenyewe kwa kuchelewa. Maana kwa ajili ya uzoefu hata mizigo yao huwa wanatayarisha dakika za majeruhi...
 
Kuna mdau mmoja kaongea point moja nzuri sana (rejea post #23 ) bwana Pilipili, hiyo ya ugeni wa kimiundombinu niko na evidence nalo. Kuna siku abiria ameachwa na ndege akiwa amesimama kwenye kwenye wrong check-in counter ambapo alisimama kwenye line kwa muda mrefu.

Kuja kushtuliwa na mhudumu alipofika kwenye counter anataka kucheck-in anaambiwa sio ndege yake. Kuja kupewa taarifa ya counter ya ndege yake kuangalia ndo wanazima system, alilia yule mkenya ni balaa alijaribu kuwaeleza jamani samahani nilifika muda mrefu ila nilikosea counter walaa hawakumsikiliza zaidi ya kumwambia come to our office tomorrow we can help you, ivo bac kuchelewa kwingine kunasababishwa na ugeni wa kimiundombinu.

Airport zingine ni za kimataifa unaweza zurura wee humo ndani mpka unajikuta umechelewa...
 
Nyie foleni za dar mnazijua mnazisikia???
Mnaweza maliza ha5a saa moja na nusu au mawili kipande kidogo tu.....
 
Ha ha ha! Kama ulituma hela akate yeye mwenyewe jua hakukata ticket, na anataka hela nyingine huyo.

Ila kama ulituma ticket pole, ndio gharama za uanaume.
 
Umeiweka vyema kwa mtu anayejua kuwa atasafiri kesho, hilo ni tatizo.

Lakini pia inategemea hali ilivyo. Nilikuwa nasafiri kutoka Dar kwenda California na nilipata tiketi kutoka ubalozi wa Marekani majira ya saa kumi jioni. Nilikuwa natakiwa kuripoti JNIA saa 4 usiku. Mvua kubwa ikanyesha. Nilifika uwanja wa ndege saa tano na nusu usiku, dk 30 kabla ya safari.

Niliruhusiwa baada ya kutoka jasho na zilibaki dk 10 tu ndege itimue!
 
Sasa Kama Ndiyo Kwanza Nimetoka Kijijini Kwetu KYAKA NKUNDE Jana Tu Na Leo Nasafirishwa Kwenda India Kutibiwa Moyo Unadhani Sitochelewa Kweli? Kusafiri Na Mbung'o ( Ndege ) Ni Habari Nyingine Mkuu Haswa Ukiwa MLUGALUGA Lazima Tu Utaachwa au Kuchelewa Unless Kuna Mtu Anakupeleka!
Ukiwa unasafiri kwa mara ya kwanza ni vigumu sana kuachwa. Kwanza unaweza kwenda uwanja wa ndege masaa hata manne kabla ya safari.
 
Kuna mdau mmoja kaongea point moja nzuri sana (rejea post #23 ) bwana Pilipili, iyo ya ugeni wa kimiundombinu niko na evidence nalo. Kuna siku abiria ameachwa na ndege akiwa amesimama kwenye kwenye wrong check-in counter ambapo alisimama kwenye line kwa mda mrefu. Kuja kushtuliwa na mhudumu alipofika kwenye counter anataka kucheck-in anaambiwa sio ndege yake. Kuja kupewa taarifa ya counter ya ndege yake kuangalia ndo wanazima system, alilia yule mkenya ni balaa alijaribu kuwaeleza jamani samahani nilifika mda mrf ila nilikosea counter walaa hawakumsikiliza zaidi ya kumwambia come to our office tomorrow we can help you, ivo bac kuchelewa kwingine kunasababishwa na ugeni wa kimiundombinu. Airport zingine ni za kimataifa unaweza zurura wee humo ndani mpka unajikuta umechelewa...

Mkuu viwanja vya wenzetu kutoka terminal moja kwenda nyingine ni umbali mrefu sana. Sasa ukiwa mgeni unaweza kujikuta unatakiwa ucheck in terminal 3 halafu wewe ukaenda terminal 2. Ukija kushtuka umeachwa. Sometimes upo in the right terminal ila sasa hujui ni counter gani unatakiwa ucheck in na wala hujui ni GATE gani? Wengi pia hujikuta wakiachwa transit kwenye kubadili ndege! Au ukute kuna zile electronic check in mashine , mwenzangu na mie umetoka "sitimbi" huna ujualo na kila mtu yuko busy halafu lugha ni gongana hata ukisemeshwa kile kingereza cha mbali na wale wasaidizi huelewi. Mpaka ukija kamilisha taratibu zote ndege imeshakuacha
 
Sometimes upo in the right terminal ila sasa hujui ni counter gani unatakiwa ucheck in na wala hujui ni GATE gani?Wengi pa hujikuta wakiachwa transit kwenye kubadili ndege!

sawa sawa kabisa.......hasa hao wanaotoa boarding pass bila gate no.......halafu ukalitafutie mbele huko.......kama hujawahi kusafiri utafurahi.......hii kweli ni sababu madhubuti ya kuachwa na ndege...........
 
Mkuu viwanja vya wenzetu kutoka terminal moja kwenda nyingine ni umbali mrefu sana. Sasa ukiwa mgeni unaweza kujikuta unatakiwa ucheck in terminal 3 halafu wewe ukaenda terminal 2. Ukija kushtuka umeachwa. Sometimes upo in the right terminal ila sasa hujui ni counter gani unatakiwa ucheck in na wala hujui ni GATE gani? Wengi pia hujikuta wakiachwa transit kwenye kubadili ndege! Au ukute kuna zile electronic check in mashine , mwenzangu na mie umetoka "sitimbi" huna ujualo na kila mtu yuko busy halafu lugha ni gongana hata ukisemeshwa kile kingereza cha mbali na wale wasaidizi huelewi. Mpaka ukija kamilisha taratibu zote ndege imeshakuacha

Umeonaeeh, ni kweli kabisa mkuu #kipilipili . Unajua sometimes vitu kama ivi hata experience nayo inahusika. Huwezi kukurupuka tu from nowhere then ukaanza kulaumiwa kuwa uzembe sio kweli. Ujue kusoma ramani ya airport, flight information screen, Boarding gates, self check-in kiosk yote haya kama ww ndo waleee lazima utaachwa.... Sio kila airport inafanana na ya bongo kwamba kila kitu kipo hapo hapo... Uzunguke uende wapi akati Ka-airport kenyee kadgo tyu!
 
sawa sawa kabisa.......hasa hao wanaotoa boarding pass bila gate no.......halafu ukalitafutie mbele huko.......kama hujawahi kusafiri utafurahi.......hii kweli ni sababu madhubuti ya kuachwa na ndege...........

Mkuu, hilo suala la Gate number achaaaaaa tu. Unakuta unatakiwa sometimes upande vile vishato kufuata gate lako, ukute sijui uko gate 20+ hata pakwenda kupandia hizo shato hujui yani unaweza ukatamani ulie
 
Umeonaeeh, ni kweli kabisa mkuu #kipilipili . Unajua sometimes vitu kama ivi hata experience nayo inahusika. Huwezi kukurupuka tu from nowhere then ukaanza kulaumiwa kuwa uzembe sio kweli. Ujue kusoma ramani ya airport, flight information screen, Boarding gates, self check-in kiosk yote haya kama ww ndo waleee lazima utaachwa.... Sio kila airport inafanana na ya bongo kwamba kila kitu kipo hapo hapo... Uzunguke uende wapi akati Ka-airport kenyee kadgo tyu!

Hahaaaa kale kakiwanja ketu yani ni kama "self contained room" yani ni hapo hapo kila kitu huna pa kwenda mbali. Ukishaingia tu basi, ukipanda pale juu umemaliza unasubiri zako kuondoka.
 
Mkuu, suala la kuchelewa kucheck ini lina sababu nyingi mkuu mojawapo ni uzembe. Hili la uzembe sitalizungumza. Ila sababu nyingine ni uzoefu wa kusafiri, hili la uzoefu lina side mbili. Kwanza, ukiwa umezoea kusafiri kuna ile over confidence ambayo mwisho wa siku mtu anajikuta amechelewa.
Pili, ni kama si mzoefu na usafiri hasa katika kujua taratibu za safari na pia ugeni wa miundo mbinu. Hili la ugeni lipo applicable hasa kwa airport za wenzetu ambazo miundo mbinu yake kama ni "wakuja" unaweza ukajikuta unazunguka humo humo masaa mawili mapaka ukijakaa sawa ndege imekuacha.



uzembe tu miundo mbinu ya bongo c tunaijua

sema uzoefu mtu anajua ni kama basi eti unaweza kuingia ndani hata kama inataka kuondoka.
 
Back
Top Bottom