Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.
Rais ni tasisi,ni nafasi inayoweza kufanya kazi na mtu yeyote bila kujali Itikadi.
Kupewa ubunge kwa Mbatia sio zawadi kama Kihiyo Bulembo anavyofikiri,na kama ni zawadi amwambie Rais amvue.
Bw. Bulembo anahitaji kusaidiwa. Kauli zake nyingi zina utata na hafikitinkabla ya kuzitoa!Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.
Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.
Huyu Bulembo anafikiri kila mtu ananunulika kama yeye
Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.
hivi huyu mbatia ni yule aliemtukana mzee mwinyi alipokua chuo kikuu
He! alimtukana Mzee Mwinyi? hahahahahh, hebu nyanyambua kidogo mkuu, Mbatia alimpa tusi gani Mzee Mwinyi?
Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.
Rais ni tasisi,ni nafasi inayoweza kufanya kazi na mtu yeyote bila kujali Itikadi.
Kupewa ubunge kwa Mbatia sio zawadi kama Kihiyo Bulembo anavyofikiri,na kama ni zawadi amwambie Rais amvue.