Abdallah Bulembo: James Mbatia hana shukrani

Abdallah Bulembo: James Mbatia hana shukrani

Abdallah Majura Bulembo HAJUI kusoma wala kuandika!Alikuwa kiongozi wa FAT (siku hizi TFF)wakati wa utawala wa Ndolanga na walipo badili katiba kuwa kiongozi wa TFF at least awe Form IV akaondoka!

Namjua jamaa huyu toka anauza mitumba na baadae bucha pale stand Musoma;kwake siasa ni kazi maana ndiyo mtaji wake!Bulembo atafanya nn CCM ikiondoka madarakani?
Kupata hakuna kusoma mkuu,Mbowe ana miaka 16c hadema kama mwenyekiti,anawageuza maprofessor wa chadema kama chapati wakati hana cheti cha form four
 
kwa hiyo yeye kapewa zawadi! tuna shida kweli nchi hii,naye huu ni mtunga sheria za nchi! anyway tusubiri tu 2020 tufanye maamuz.wakigoma kutoka,wetu ataapishwa kwa Trump
 
Nimecheka kumbe kweli hajui kusoma wala kuandika?? Daaaa kweli siasa ina mazoa mzoaa yote nchi hiii!!! Eti ndie meneja wa kampeni wa JPM!! Daaaa nasikia anajuaa kupuliza piaaa
 
Stupid Bulembo, ndiyo maana nchi haiendelei kumbe kuna baadhi ya viongozi bado ni mbumbumbu, kumbe bungeni kunatafsiriwa kuwa ni sehemu ya kutuliza maumivu na siyo mapambano

Marx hivi hujafungiwa. Nilifungiwa juzi kwa neno stupi.d, siku mbili sero. Lkn nasemaga I can do without jf
 
Abdallah Majura Bulembo HAJUI kusoma wala kuandika!Alikuwa kiongozi wa FAT (siku hizi TFF)wakati wa utawala wa Ndolanga na walipo badili katiba kuwa kiongozi wa TFF at least awe Form IV akaondoka!

Namjua jamaa huyu toka anauza mitumba na baadae bucha pale stand Musoma;kwake siasa ni kazi maana ndiyo mtaji wake!Bulembo atafanya nn CCM ikiondoka madarakani?

Kusoma na kuandika si kweli, anajua
 
Kibajaji kapata mwenzake hao ndo wabunge wanotunga sharia
 
Ndio aina ya mawazo yaliyoruhusiwa kuspear head vision ya CCM. Reality has a way to vomit such mind.
 
Miongoni mwa watu wapumbavu huyu bwana ni miongoni mwao!!mara nyingi kauli zake uwa ni za ajabu!!
Uteuzi wa Mbatia ni kwa mujibu wa katiba,na katiba haijaweka masharti ya anayeteuliwa kuwa mbunge,hapa tatizo la Mbatia ni nini!!?tatizo kuna watu wanafikiri kuwa kuwa mwanasiasa ni lazima utetee kila kitu hata kama ni cha hovyo ilimradi tu ufurahishe upande wako,kwa akili hizi hata maendeleo ni ndoto,kamwe hakuna maendeleo bila mawazo tofauti.
Mkuu chunga ulimi wako Mzee Bulembo siyo mpumbavu labda tuseme wewe ni mpumbavu na umemtambua mpumbavu mwenziyo. Anachosema ni sawa, Mbatiya aliteuliwa kwa nia njema kuimarisha upinzani lakini si kwa maji taka. Kama Mbatiya anasema CCM hawana akili tena ni mafisadi, kwa nini alikubali kuteuliwa na mafisadi? Kama ni upinzani angetoa sera mbadala kuliko kujikita kiukabila akaiacha NCCR ife yeye akawa msemaji wa Chadema, tena kwa kupitia Kanisa.
 
Back
Top Bottom