Abdallah Bulembo: James Mbatia hana shukrani

Abdallah Bulembo: James Mbatia hana shukrani

Huyu ni mchumia tumbo alizani mbatia naye atakuwa kwenye list yake kama yy
 
Bulembo Kihiyo namba Moja ata Ubalozi wa Nyumba Kumi hafai aweke wazi CV zake ata hilo jina sio lake ni la Mtangazaji Abdallah Majura yeye kaongezea la mwisho tu yaani Bulembo sababu aligushi cheti.
 
Mjinga sana. Alitaka akampigie makofi kama ma ccm mengine yanavyofanya! Mbatia anajitambua na huyu -------- asidhani alikuwa na maisha magumu kama yakwake mbali na wizi wote wanaofanya. Ajitathmini kabla ya kuzungumza. Mjinga sana.
 
Kimjaacho moyoni mtu ndicho kimtokacho. Bulembo hana shaka ya maneno yake kwani alipotunukiwa neema ya kuinga Bunge la Katiba tangu aingie hana kingine bali ni kuuvuruga mchakato huo tu. Anaifanya vizuri sana kazi aliyotumwa na Boss wake.
Hivyo alitamani kama kuna uwezekano, Mbatia anyang'anywe hiyo sukari aliopewa ili apewe yeye akavuruge hilo Bunge pia. Mtu huyu amepungukiwa na akili yake kidogo
 
Naanza kupata mashaka na watu walio huko jumuia ya wazazi kama wako sawa kichwani au jumuia hiyo ni mkusanyiko wa watu wenye hitilafu ya fikra. Yupo na yule mwingine naye anaongea kabla ya kufikiri hapa JF.


Sent from my iPad using JamiiForums

Hahaha mkuun unamanisha "Le Mutuz System"?
 
Kulipana fadhila ni katika matatizo ya ccm
Bribing power in return to stand in favour for corruption
 
Nilichogundua wachangiaji wengi humu jf hamjatembea na akili na mawazo ya wanainchi wengi wa tz hii,kwao wao anayosema bulembo ndio issue na si mnayoyajadili nyinyi mliyefuta ujinga,hebu njooni huku namtumbo,kindimba juu,kingilikiti,liuli,chiulu,namanyele,ligera,mpepai na vijiji vingine mujionee hali halisi.kwao wao anayosema bulembo,kinana,nape mnauye ndio dira za maisha yao ya siku za usoni.

Ndugu yangu siyo kama RUVUMA tunapenda ila kuna kitu tumekisa. Ila tumeanza na uwepo wa Madiwani wa Mageuzi a.k.a Upinzani wa kata 8 hapo Manispaa ya SONGEA Mwanzo Mgumu tutatoka tu kwenye hili kundi la MISUKULE.
 
..kumbe wakazi wa Kata ya Kijitonyama-Kinondoni hawakukosea kukunyima kura za udiwani,uchaguzi wa 2010,unauwezo mdogo sana wa kujenga hoja na kuchanganua mambo ndugu Bulembo..
 
Wakuu, mwenye CV ya Bulembo naomba atuwekee tuweze kuangalia na hatimaye kujiridhisha juu ya uwezo wake wa kuchanganua mambo.


Alipigwa chini udiwani kijitonyama kabla hajapewa hicho cheo alichonacho alikuwa hoi
 
Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.

Ata kama rais amekuteua, haiwezekani mfanye ujinga alafu kwavile rais amekuteua ukubali tu upuuzi, hiyo wanaweza CCM tu, hasa pale unapounga mkono hoja zaidi ya 100% wakati hotuba yako imejaa malalamiko mwanzo mwisho, huwa napata shida kwakweli, labda na Mrema ambaye amehongwa jimbo la vunjo.
 
jana m/kiti wa jumuia ya wazazi abdalla bullembo alisema kuwa mhe james mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na ukawa na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya ccm iliyompa ulaji.

ebo!!!!!!!kumbe chama cha mapinduzi vyeo ni kupeana kama pipi???kumbe ndio maana kule bungeni ni,wanaosema hoja ihi ipite waseme ndoyooooo!!!!! Ndiyooooooooooooooooooooooooooooooo,spika walio sema ndiyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo.wameshinda,meza zina gongwa.papapapapapapapa.amakweli ccm cheo sio taaluma.bali domo lako2. Na kusifia sifia.
 
Bulembo ni mjinga sana,anafikiri mbatia ni mchumia tumbo kama yeye.Kwanza bulembo alimchafua sana Jaji waerioba ktk kipindi tume inakusanya maoni ya wananchi,na warioba aliitisha mkutano na waandishi wa habari kuelezea ujinga anaofanya bulembo ktk mikutano yake.POOR BULEMBO!
 
Mheshimiwa Rais alimteuwa akijua wazi kuwa ni mpinzani na si wakala wa CCM na inawezekana Rais lishauriwa hivyo na CCM ili kupunguza nguvu za CHADEMA na ndiyo maana data zote anazotumia anapewa na Serikali. Na mheshimiwa Mbatia angefanya tofauti na tabia yake ya awali asingeeleweka wala kuaminika na angjimaliza angali kijana kama alivyojimaliza mwenyewe Lyatonga mzee wa Kilalacha kwa ghiriba za CCM .
akili za mjinga hizo
 
Jana m/kiti wa Jumuia ya wazazi Abdalla Bullembo alisema kuwa mhe James Mbatia hana shukrani kwasababu alikuwa na maisha magumu Mh. Rais akamteua kuwa mbunge na kupewa gari nzuri,anavaa suti nzuri lakini hana shukrani/heshima
kwa kitendo chake cha kujiunga na UKAWA na kupanda majukwaani kuiponda serikali ya CCM iliyompa ulaji.

- Kwani Mbatia huwa ni nani hapa bongo mleta mada eti Mbatia huwa ni nani siasa za bongo sasa hivi? Amewahi kufanya nini hasa zaidi ya kufuata fuata mkumbo angekuwa mpinzani wa kweli asingekubali kupewa ubunge wa viti maalum wa CCM, sometimes huwa kama mmelewa mapombe U know!!

Le Mutuz System
 
Bulembo ni mjinga sana,anafikiri mbatia ni mchumia tumbo kama yeye.Kwanza bulembo alimchafua sana Jaji waerioba ktk kipindi tume inakusanya maoni ya wananchi,na warioba aliitisha mkutano na waandishi wa habari kuelezea ujinga anaofanya bulembo ktk mikutano yake.POOR BULEMBO!

- Hivi kweli unaweza kumlinganisha Warioba na Bulembo? Warioba aliwahi kuchaguliwa na nani zaidi ya Rais tu, please!!

Le Mutuz System
 
Back
Top Bottom