LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Bulembo ana jisahau tuu. Hivi ndani ya Ccm ni nani wa kumnyooshea kidole mwenzake?Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amekiomba Chama hicho kumhoji na kumchukulia hatua za kinidhamu Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa kile alichokiita kwenda kinyume na maadili ya chama...
Bulembo kaua shule za jumuia ya wazazi. Anatakiwa awepo Ukonga na sio uraiani.