King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
mmmh!! :-O
tuko kwenye maombolezo, usilete mambo yako yalee.
mmmh!! :-O
Kwani hujui kwamba kila mwanamke ni MMU........?
kumbe ni weekend!!!
As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.
As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.
As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.
a u seriouz?
Kwani hujui kwamba kila mwanamke ni MMU........?
alafu ana apply wapi? according to King'astikwani wewe hujaenda msiba wa mhaya? Hawasomi historia ya marehemu, inakuwa ni cv. Hadi short courses as long as ni ulaya wanazitaja. Ina maana huko mbinguni sijui peponi kama kuna ac inakorofisha si wataitisha wahandisi?
alafu ana apply wapi? according to King'asti
Very true, as long as
results are good, unahitimu kama marehemu. I saw this kwenye grad yetu,
RIP Madam.
mbona mnaniandama. Ntalia mjue! Mi nawaambia ukweli afu mnadhani nimeshalikoki
... no woman .. noo , no cry ..Im the solution...
Do you know king'asti? the daughter of mtambuzi? go ahead being the solution
Astaghafilullah!