Proffesor wa chuo kikuu Ardhi, Eleuther Mwageni amefariki dunia hii leo
Pia Professor Eleuther Mwageni mnamo June 8, aliteuliwa na Rais Samia kuwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo CBE
Bwana ametoa,bwana ametwaa, Jina lake lihimidiweView attachment 1870328View attachment 1870329
Dah. This is sad indeed. Ngumu kuamini. My former colleague and boss. MHSRIPProfesa wa chuo kikuu Ardhi, Eleuther Mwageni amefariki dunia hii leo
Pia Profesa Eleuther Mwageni mnamo June 8, aliteuliwa na Rais Samia kuwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo CBE
Bwana ametoa,bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
View attachment 1870328View attachment 1870329
Suala la covid linaumiza akili sanaNarudia tena; tangazo la wizara ya afya kuhusu kujikinga na UVIKO-19 kwa makusudi mazima halikueleza hatua za kuchukua mashuleni na vyuoni; liko silent kabisa kuhusu shule na vyuo!
Kwa misongamano iliyoko maeneo hayo; huko ni mazalia na usambazaji wa Corona. Watoto watabeba na kuwapelekea wazazi majumbani. Walimu na maprofesa ni makundi hatarashi haswa.
Inauma sana wanakufa ma prfs wasomi wanabaki mprfs jina.Profesa wa chuo kikuu Ardhi, Eleuther Mwageni amefariki dunia hii leo
Pia Profesa Eleuther Mwageni mnamo June 8, aliteuliwa na Rais Samia kuwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo CBE
Bwana ametoa,bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
View attachment 1870328View attachment 1870329
Family Yao wamejaaliwa akili sana hawa, ana kaka yake ambayo ni Padre Mwageni alikuaga awe askofu wa ifakara Kama si morogoro…
Rest easy comrade!
Hiki kiswahili hiki balaaKwa nini mch gwajima HASIWAHOMBEE??
NdihooHiki kiswahili hiki balaa