Asante kwa ushauri mkuu.
Siwezi kuipokea HBD wish toka kwako sababu sikujui though
Hahahahahahahaha asante sana rafiki .Duh hapo nilipobold umenisaidia kukumbuka mwaka ambao nilikua age hiyo lol ni siku nyingi sana.
Nimezingatia hiki ulichoandika mwanzo na ndicho ninachokujibu; "u could cmply do it with ur family,. Unamjua nani hapa?"
Siwezi kuipokea HBD wish toka kwako sababu sikujui though