My dear asante sana najua umebanwa wala usijali. BAK noumaa kakupigia kelele mpaka ukashindwa kulala jamani, nilisikia akikuita . Unajua mimi nilimwambia kurudi nyuma nzuri lkn yeye akasema eti mambo ya kisasa ni mazuri kuzidi ya nyuma ndio nikasema ngoja aje twin athibitishe kama kuna ukweli. Halafu swali nililomuuliza akalikwepa hakulijibu, "Hivi nikirudi huko nyuma ina maana kila kitu kirudi kule au narudi mie tu halafu mengine yanaendelea"rafiki yangu na pacha Ablessed
unisamehe tu pacha wangu..... naamini unajua nimekamatwa sana, ingawa najisikia vibaya sana sikuweza kukuanzishia huu uzi, nilitamani ingekuwa hivyo....
hata hivyo
Nakuaminia rafiki yaani ule ukulele haukwenda bure asante sana.Chezeya BAK weye hahahahaha lol! Nimekufukunyua ulikojificha lol! nimefurahi kuona umeitikia mwito wa BAK 🙂🙂 Mzima weye!? Pacha alikuwa kaanza kutoa mchozi kwa kukosekana kwako lol! Nikasema isiwe tabu.
Siku nyingine ukipata weekend mbaya we ntafute...umesikia best eenh!!
sawa ila nahisi nahitaji some privacy with you,naweza kuja kule
kwingine
ha haaa, asante sana kwa kunishautia rafiki.......Chezeya BAK weye hahahahaha lol! Nimekufukunyua ulikojificha lol! nimefurahi kuona umeitikia mwito wa BAK 🙂🙂 Mzima weye!? Pacha alikuwa kaanza kutoa mchozi kwa kukosekana kwako lol! Nikasema isiwe tabu.
ha haaa ngoja aje akujibuMy dear asante sana najua umebanwa wala usijali. BAK noumaa kakupigia kelele mpaka ukashindwa kulala jamani, nilisikia akikuita . Unajua mimi nilimwambia kurudi nyuma nzuri lkn yeye akasema eti mambo ya kisasa ni mazuri kuzidi ya nyuma ndio nikasema ngoja aje twin athibitishe kama kuna ukweli. Halafu swali nililomuuliza akalikwepa hakulijibu, "Hivi nikirudi huko nyuma ina maana kila kitu kirudi kule au narudi mie tu halafu mengine yanaendelea"
my wii tunatakiwa tuchapwe,ndo kusema hawa waume zetu wanatufungia
kiasi hiki hadi tunashindwa kujua mtaa wa pili kuna nini!!!!!!!!
Hapana kabisa dada mdogo usitoroke kwa mumeo hata siku moja usipoangalia atakuondolea wafanya kazi wote wanaokusaidia kwenye huo mjumba ulojengewa. Omba ruhusu asiporidhia basi kaa home. Hivi ile vacancy ya housemaid ilisha isha eeeeh .tumesamehewa my wii, sikunyingine hawa waume zetu wakitufungia tuwe tunatoroka,,,, mwishowe tutapitwa na mambo mazuri ya mtaa wa pili
Hapana kabisa dada mdogo usitoroke kwa mumeo hata siku moja usipoangalia atakuondolea wafanya kazi wote wanaokusaidia kwenye huo mjumba ulojengewa. Omba ruhusu asiporidhia basi kaa home. Hivi ile vacancy ya housemaid ilisha isha eeeeh .
sawa dada yangu, nimekusikia, sitotoroka ila shemejio Arushaone nimgumu sana kutoa ruhusa labda uwe unaniombea!
Ile ilisha isha maana kwa upande wa kike yupo cousin wangu ladyfurahia na pacha wangu Passion Lady maana walinishauri nichukue ndugu nisije nikaibiwa
na kwa upande wa wanaume yupo Mentor na Mkirua ( Mamndenyi ) asipaone hapa!
sawa dada yangu, nimekusikia, sitotoroka ila shemejio Arushaone nimgumu sana kutoa ruhusa labda uwe unaniombea!
Ile ilisha isha maana kwa upande wa kike yupo cousin wangu ladyfurahia na pacha wangu Passion Lady maana walinishauri nichukue ndugu nisije nikaibiwa
na kwa upande wa wanaume yupo Mentor na Mkirua ( Mamndenyi ) asipaone hapa!