A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Wajumbe katika pitapita zangu nimejikwaa na kudondokea humu, kiukweli huyu dada anaonyesha ni mwenye uhitaji ila vigezo vyake binafsi vimenishinda.

Kigezo kikubwa kigumu ni kuwa Jobless Pro Max, kwa hisani ya chama chetu wajumbe tumuombee apate kile anachostahili.

Nawaalika kwenye maombi na siyo kuupeleka mbio uzi wa binti huyu muhitaji.

Nomadix ulikuwa unatafuta rafiki wa kike wakuganga nae yajayo, pitia hapa uone kama atakufaa.

Intelligent businessman Selikavu Edo kissy dosho12
ni kweli nna uhitaji, kama kuna kigezo kimepungua still tunaweza kuzungumza, naamini kama ni ujobless ni suala la muda tu siku mambo yatakua sawa ,muhimu ni kuwa na mipango thabiti
 
Hi Brother Short.😃 Usijali hizo Condition zake, Nenda Jaribu Bahati yako . Hawezi pata mtu wa age hiyo awe Employed au Business nini sijui , Na visifa zingine nyingi nyingi . halafu bado awe Single Hayupo🤣🤣
Atasubili Sana tena asiwe na mtoto...
 
Baada ya kuitembeza vya kutosha, anatafutwa simp aliyehangaika kujijenga kwa miaka akahangaike na emotional damages and traumas na shimo. 😁
Usimhukumu mtu sana,kuwa na umri mkubwa haimaanishi kuwa huyo mtu alikua mhuni.
 
Mimi huwa naona MTU Kama anatafute mme aandike hivi

Nahitaji Mme
Age 33-40


Hii inatosha Ila unasema must have business or employed

Ukimaanisha nini ???

I don't think MTU ambaye hana shughuli akakufata na akiwa anayo what if he gonna be fired , or lose his capital.

Ukitafuta mwanaume tafuta mwanaume

Mbona sisi tunao broke women ,dumber ,prostitute na hatuwawekei masharti
Nimeupokea ushauri wako, thank you
 
Wengi wanaokuja na hizi nyuzi sijui Natafuta mme,ni wale matapeli wa tuma kwa namba hii,na wapo ktk mfumo ule wa kule Facebook mtu anakuja messenger anakutumia ujumbe unaosomeka umeshapata hizi hela za Bure kutoka UN,mara tuma namba nikuunge nawewe upate.tuwe makini kweli kweli.
Siyo kweli
 
Hello Prisha
Niko hapa kama utakuwa interested kuwa mchepuko wangu until utakapo pata mtu wa kukuoa ili usiteseke coz nishaoa.
1. I'm Christian, tall and black
2. I'm a family man tayari nina mke na watoto 3 + nishafanya vasectomy so usiwaje kuhusu kukupa mimba
3. I own my own businesses and so so
4. Nitakupangia apartment sehemu utakayo hitaji+ monthly allowance pamoja na upkeep zingine.
5. Jiandae kwaajili ya alot of vacations kwasababu ya nature ya shughuli zangu huwa nasafiri sana, hapo uwe na passport, international driving licenses, certificates ya homa ya ini, na manjano pamoja na cheti cha Covid 19
Kama utakuwa interested njoo PM
 
Sema huyu msakaji nimemkubali, yuko bampa to bampa na uzi wake kukabiliana na comment nzito nzito zenye ncha kali.
Wengine hiwa wana post tangazo halaf wanatoka nduki, commend wanasoma kwa mbaaali😂😂😂
Comments nzuri na nzito ni muhimu kumpa mtu uimara, so nitazipokea zote positively
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom