Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 21,340
- 46,131
Ni mimi huyu huyu wala hakuna tofauti, kuhusu kijana mdogo kuliko mimi, I won't be comfortable, natamani kupata mzee mwenzangu.Kama huyu Prisha anaejibu hapa ndie huyo huyo wa mtaani basi uko njema.
Tatizo kubwa la kina dada above 25 yrs huwa ni kutaka mwanaume wa kufukia mashimo ya maumivu uliyopitia.
Ni wachache wasio na mtazamo huo.
Kuna pisi apo juu imekupa ushauri wa kupoa na chalii hata ya 27 yrs inayojielewa. Zingatia ushauri wake kabla hujatumiwa na waume za watu.
Dr Vishu Mtata JF psychologist.
Ahsante kwa offer yako, ila natamani nipate mwenzangu tuanze familia,watoto wetu nk.Hello Prisha
Niko hapa kama utakuwa interested kuwa mchepuko wangu until utakapo pata mtu wa kukuoa ili usiteseke coz nishaoa.
1. I'm Christian, tall and black
2. I'm a family man tayari nina mke na watoto 3 + nishafanya vasectomy so usiwaje kuhusu kukupa mimba
3. I own my own businesses and so so
4. Nitakupangia apartment sehemu utakayo hitaji+ monthly allowance pamoja na upkeep zingine.
5. Jiandae kwaajili ya alot of vacations kwasababu ya nature ya shughuli zangu huwa nasafiri sana, hapo uwe na passport, international driving licenses, certificates ya homa ya ini, na manjano pamoja na cheti cha Covid 19
Kama utakuwa interested njoo PM
Kwanini unajiita mzee?Ni mimi huyu huyu wala hakuna tofauti, kuhusu kijana mdogo kuliko mimi, I won't be comfortable, natamani kupata mzee mwenzangu.
Wewe ni bikira?Usimhukumu mtu sana,kuwa na umri mkubwa haimaanishi kuwa huyo mtu alikua mhuni.
Huyu sio singo maza.Masingo maza sijui hua mna shida gani, naona sasa upweke umeanza kufanya kazi yake 🤣🤝
Kwanini bro😂🤣Hii comment yako inachekesha sana 😂
Bro ko hata mtoto wa lazima huna?007 Agent makini hujua kucheza na fursa, we tulia hapo mkuu.
Miaka 37 bado nipo single kwanini nisijitulize kwa bibie hapa.
Vishu Mtata yuko above 33, mpe nafasi muone if it's worth itNi mimi huyu huyu wala hakuna tofauti, kuhusu kijana mdogo kuliko mimi, I won't be comfortable, natamani kupata mzee mwenzangu.
Mungu nifundishe kunyamazauko vizuri.
Umefanikiwa???
Stay blessed lady, isiwe katika maandishi na uhalisia iwe hivyo.ni kweli nna uhitaji, kama kuna kigezo kimepungua still tunaweza kuzungumza, naamini kama ni ujobless ni suala la muda tu siku mambo yatakua sawa ,muhimu ni kuwa na mipango thabiti
Umecomment hata hujapitia thread😔, umeona wapi nimeandika "singo maza" upweke ni kwa kila mtu siyo singo maza tuMasingo maza sijui hua mna shida gani, naona sasa upweke umeanza kufanya kazi yake 🤣🤝
Baadhi ya sifa ninazo, ila I'd mpya?, hapana Asante.Una umri gani?
Safi aisee nipigie mapande mdogo angu.Vishu Mtata yuko above 33, mpe nafasi muone if it's worth it
Sina hata wa kusingiziwaBro ko hata mtoto wa lazima huna?
😄😄ScamVishu Mtata yuko above 33, mpe nafasi muone if it's worth it
😄😄 Tunashukuru na baadhi ya sifa tunazo tatizo kuna neno FUTURE kwenye maelezo yakeStay blessed lady, isiwe katika maandishi na uhalisia iwe hivyo.
Ma jobless pro max mme kumbukwa Razorblade, @Selikavu,dosho12, Edo kissy.
Wakubali wote ila sio hii pimbi Kijana Masikini au Half american panya wabaka wakubwa
Hasara mi6Sina hata wa kusingiziwa