A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Mimi huwa naona MTU Kama anatafute mme aandike hivi

Nahitaji Mme
Age 33-40


Hii inatosha Ila unasema must have business or employed

Ukimaanisha nini ???

I don't think MTU ambaye hana shughuli akakufata na akiwa anayo what if he gonna be fired , or lose his capital.

Ukitafuta mwanaume tafuta mwanaume

Mbona sisi tunao broke women ,dumber ,prostitute na hatuwawekei masharti
 
Mimi huwa naona MTU Kama anatafute mme aandike hivi

Nahitaji Mme
Age 33-40


Hii inatosha Ila unasema must have business or employed

Ukimaanisha nini ???

I don't think MTU ambaye hana shughuli akakufata na akiwa anayo what if he gonna be fired , or lose his capital.

Ukitafuta mwanaume tafuta mwanaume

Mbona sisi tunao broke women ,dumber ,prostitute na hatuwawekei masharti
Yaani uji jenge wee, halafu uje ukutane na random person ambaye ana wish a happy ending.

Siku nita andika post ya kutaka mchumba, hivyo vigezo lazima wakasirike!
 
Kaka sifa nisiyo kuwa nayo ni umri tu, vingine hata yeye na wenzie bado mno

Wajumbe katika pitapita zangu nimejikwaa na kudondokea humu, kiukweli huyu dada anaonyesha ni mwenye uhitaji ila vigezo vyake binafsi vimenishinda.

Kigezo kikubwa kigumu ni kuwa Jobless Pro Max, kwa hisani ya chama chetu wajumbe tumuombee apate kile anachostahili.

Nawaalika kwenye maombi na siyo kuupeleka mbio uzi wa binti huyu muhitaji.

Nomadix ulikuwa unatafuta rafiki wa kike wakuganga nae yajayo, pitia hapa uone kama atakufaa.

Intelligent businessman Selikavu Edo kissy dosho12
Jobless tunakosa mengi sana 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom