A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

Ila wanaume tunaonewa sana, usipokuwa makini unajiingiza kwenye mdomo wa mamba mwnyw
Wengi wanaokuja na hizi nyuzi sijui Natafuta mme,ni wale matapeli wa tuma kwa namba hii,na wapo ktk mfumo ule wa kule Facebook mtu anakuja messenger anakutumia ujumbe unaosomeka umeshapata hizi hela za Bure kutoka UN,mara tuma namba nikuunge nawewe upate.tuwe makini kweli kweli.
 
Holla! i'm a lady age 33yrs old,Christian, i have no kids, am looking for a single man for a serious relationship with future, he should be 33yrs to 42yrs old,tall,christian,with no or not more than one kid, employed/business.
let's chat via pm.
regards.
Prisha.
Fungua PM mrembo...
 
Kama huyu Prisha anaejibu hapa ndie huyo huyo wa mtaani basi uko njema.

Tatizo kubwa la kina dada above 25 yrs huwa ni kutaka mwanaume wa kufukia mashimo ya maumivu uliyopitia.
Ni wachache wasio na mtazamo huo.

Kuna pisi apo juu imekupa ushauri wa kupoa na chalii hata ya 27 yrs inayojielewa. Zingatia ushauri wake kabla hujatumiwa na waume za watu.

Dr Vishu Mtata JF psychologist.
 
Kama huyu Prisha anaejibu hapa ndie huyo huyo wa mtaani basi uko njema.

Tatizo kubwa la kina dada above 25 yrs huwa ni kutaka mwanaume wa kufukia mashimo ya maumivu uliyopitia.
Ni wachache wasio na mtazamo huo.

Kuna pisi apo juu imekupa ushauri wa kupoa na chalii hata ya 27 yrs inayojielewa. Zingatia ushauri wake kabla hujatumiwa na waume za watu.

Dr Vishu Mtata JF psychologist.
Kutoka kuwa 007 hadi phycologist kudadadeki 😂 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom