"A man should provide for his wife. PERIOD"

"A man should provide for his wife. PERIOD"

hivi mapenzi ni nini, na ndoa ni nini, mbona wanawake wenzangu mna element za utegemezi jamani, yaani pesa yako ni yako peke yako, ya mwenzio ya wote,halafu unasema unampenda, hivi kwenye mapenzi kuna mtu anatakiwa amgharimie mwenzie au sijui maana ya mapenzi
Wewe hujui raha ya kutunzwa bibi wewe, embu tuulize na sie, mwanaume lazima ajitutumue kutunza familia ndio uanaume wake utaonekana na heshima kwa ujumla, hivi ukikutana na mwanaume hataki ujitunze anataka akutunze utamkatalia?? hujapata tu katelero,hii imeandikwa hata kwenye vitabu vya dini kama unapinga sasa kwa ajili tu dunia imebadilika nido hapo chacha...na sio mwanamke anabaki tu na pesa zake, kuna vitu vingi sana majumbani ambavyo kina baba wanaviona ni vidogo huwa hawatilii manani, kamamapazia maua machungu ya maua mapicha hii yote huwa mwanamke anafanya ila inachukuliwa kama vitu vidogo...acha wajenge nyumba, wanunue magari, na vitu vingine vikubwa na sie tuendelee kununua unuform za watoto tu
 
Na mimi ndo ninavyojua, maisha ya mapenzi ni kushirikiana, kusikilizana, kuheshimiana, kujaliana tatizo letu wanawake tunapenda tujaliwe sisi tu, kushirikiana hatutaki, eti sio jukumu letu, nadhani mapenzi kwa baadhi ya wanawake yaangalia vitu sana
Kusaidiana katelero ndio kule tunavyoungua mikono jikoni na kuwafulia hadi vyupi na kuwatunza kama watoto wetu vile na wao wanatujali na kututimizia mahitaji yetu...
 
...aaahhh, kaka. Nakushukuru kwa kunikumbusha haya. Najua tafsiri hii inatokana msimamo wa Imani gani.
Tatizo linakuja je? kwenye maisha ya leo na mfumuko wa gharama za maisha hayo yote yanawezekana?


Chukulia Income ya Baba mwenye nyumba haizidi Tshs 125,000/= kwa mwezi kima cha chini (hapa Unguja)
Mkuu, nadhani kama umenisoma vizuri, unaweza kuona majibu ya hayo maswali yako.

...Ni pale tu atakapoamua kufanya ihsani, na yeye mwenyewe kuona kuwa maisha ni magumu na msaada wake unaitajika, ila si lazima...
Mkuu, kwani msimamo wa imani nyingine unasemaje?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kweli kabisa Mbu. Mimi nafanya kazi tena ya maana tu kwa nini niwe tegemezi 100%. Kwenye familia yangu wote ni watafutaji na pesa si yangu wala ya mume wangu, ni yetu sote. Kwa hiyo mimi hapa naona kama watu wanaongea kichina tu. Yes wazazi wetu walitegemea baba kuwa ni provider kwa kuwa those days wamama walikuwa wanakaa nyumbani kufanya kazi za home. Sasa mimi na elimu yangu na kazi yangu nzuri bado nitegemee mume anihudumie. Well as a woman I love receiving gifts and of course I do. Ila gharama za maisha ni zetu sote and am proud that I can contribute a lot to making my family enjoy modern life.
Ukiambiwa ukae uhudumiwe utakataa???
 
Chapakazi, naona kama unaandika kwa hasira!
Tunaomba utujengee hoja hapa tufafanulie ili nasi tufaidi!! Kuna hazina ya elimu hapa kwenye post yako lakini umeifunga sana mpendwa hebu funguka..................

Mimi sio naandika kwa hasira, lakini naboreka kila ninaposoma hizi article zinazoongelea mahitaji haya na yale. Na papo hapo wanawake wanadai haki sawa.
Kama wanawake wanataka mwanaume awe provider, wao watakuwa nani katika relationship? Such articles in my opinion ndio zinafanya wanawake wabaki nyuma katika kudai equality. Huwezi kuwa tegemezi na papo hapo udai equality.
Na kama hizi ndio natural instincts za mwanamke (yaani kutafuta provider), basi equality will remain a dream in the pipe!
 
Kwanza karibu sana Kaka X-Paste......
Nashukuru sana umetuwekea na upande mwingine wa mtazamo ili utusaidia kuelewa vizuri hii mada....mtazamo ambao nafikiri ni muhimu sana kwa maisha ya kila mtu, kuangalia mila na desturi zake. Hapa sina mengi ila ningependa kuuliza swali moja tu.......
1. Mwanaume anayefuata/takiwa kufuata mtazamo huu ambaye HAYATIMIZI haya kama inavyotakiwa, either kwa kuwa mambo ya kiuchumi hayajakaa sawa, jamii hii inayofuata mtazamo huu inamchukuliaje?;
2. Yule je anayeDHARAU haya kwa KUSUDI kabisa naye anachukuliwaje
?
Tafadhali naomba ufafanue hayo maswali niliyo yakoza (bold).
Nina maanisha kuwa sijakuelewa.
 
Wewe hujui raha ya kutunzwa bibi wewe, embu tuulize na sie, mwanaume lazima ajitutumue kutunza familia ndio uanaume wake utaonekana na heshima kwa ujumla, hivi ukikutana na mwanaume hataki ujitunze anataka akutunze utamkatalia?? hujapata tu katelero,hii imeandikwa hata kwenye vitabu vya dini kama unapinga sasa kwa ajili tu dunia imebadilika nido hapo chacha...na sio mwanamke anabaki tu na pesa zake, kuna vitu vingi sana majumbani ambavyo kina baba wanaviona ni vidogo huwa hawatilii manani, kamamapazia maua machungu ya maua mapicha hii yote huwa mwanamke anafanya ila inachukuliwa kama vitu vidogo...acha wajenge nyumba, wanunue magari, na vitu vingine vikubwa na sie tuendelee kununua unuform za watoto tu

With such thoughts, U will remain his property foverer, kama vile gari linavyotunzwa, nk....
 
Mbu unaweza kuombwa hela ya kodi ya nyumba au ada ya watoto wakati unaumwa umelazwa hospital, na pengine umekuwa mlemvu kabisa huwezi kufanya kazi tena kisa eti wewe lazima uprovide
mhhhh katelero hii inaeleweka bwana,ndio maana kuna dada mmoja aliambiwa na mumewe ikifika kuchangia hata sitakwamba coz alijua kuna nyakati kama hizi bana
 
Tafadhali naomba ufafanue hayo maswali niliyo yakoza (bold).
Nina maansiha kuwa sijakuelewa.

Oh Samahani ninamaanisha kuuliza hivi; baada ya kusoma majibu yako na ufafanuzi mzuri kwenye Imani, ndo nikaomba kujua
1. Mtu (mwanaume) ambaye anatakiwa kuifuata Imani hii, akawa hayatimizi hayo uliyoyaainisha hapo juu, atatafsiriwaje? na
2. Kuna wale wanaoshindwa kutimizia familia zao kwa sababu tu hali ya maisha haimruhusu (hana kazi au kazi yake ni kipato kidogo kukidhi mahitaji) na kuna wale wenye kipato lakini anaamua tu kutofanya kwa sababu anajua kuwa mkewe ana uwezo.
 
Mkuu, nadhani kama umenisoma vizuri, unaweza kuona majibu ya hayo maswali yako.

Mkuu, kwani msimamo wa imani nyingine unasemaje?

Pheewww, Jazzakallah!...nimeisoma hiyo. Shukran.
Naomba tuliache hilo la imani nyingine, tusijeharibu topik ya mamaa hapa,
kuna atheists, hindus, sikhs, christians, rastafaris, pagans etc humu...

Haya, nasubiria umjibu Mwj1 nami nije na swali la nyongeza.
 
Wewe hujui raha ya kutunzwa bibi wewe, embu tuulize na sie, mwanaume lazima ajitutumue kutunza familia ndio uanaume wake utaonekana na heshima kwa ujumla, hivi ukikutana na mwanaume hataki ujitunze anataka akutunze utamkatalia?? hujapata tu katelero,hii imeandikwa hata kwenye vitabu vya dini kama unapinga sasa kwa ajili tu dunia imebadilika nido hapo chacha...na sio mwanamke anabaki tu na pesa zake, kuna vitu vingi sana majumbani ambavyo kina baba wanaviona ni vidogo huwa hawatilii manani, kamamapazia maua machungu ya maua mapicha hii yote huwa mwanamke anafanya ila inachukuliwa kama vitu vidogo...acha wajenge nyumba, wanunue magari, na vitu vingine vikubwa na sie tuendelee kununua unuform za watoto tu


mmh kazi ipo, nimefundishwa kutokuwa tegemezi na wazazi wangu, staili ya maisha unayoishi siiwezi kabisa, napenda kumjali mpenzi wangu kwa kila kitu na huwa najisikia vizuri sana nikifanya hivyo.

kwangu mimi mpenzi wangu ni rafiki yangu, namtendea vile ninavyopenda kutendewa mimi, kama ni nyumba tutajenga kwa pesa yangu na yake, magari tutanunua kwa pesa yangu na yake, na hivyo vitu vidogo vidogo ulivyoviorodhesha tutanunua kwa pesa yetu wote, siwezi sema hii ni pesa yangu na yeye hawezi sema ni pesa yake, ni zetu wote

unapenda sana kufugwa
 
Mimi sio naandika kwa hasira, lakini naboreka kila ninaposoma hizi article zinazoongelea mahitaji haya na yale. Na papo hapo wanawake wanadai haki sawa.
Kama wanawake wanataka mwanaume awe provider, wao watakuwa nani katika relationship? Such articles in my opinion ndio zinafanya wanawake wabaki nyuma katika kudai equality. Huwezi kuwa tegemezi na papo hapo udai equality.
Na kama hizi ndio natural instincts za mwanamke (yaani kutafuta provider), basi equality will remain a dream in the pipe!

Aksante sana chapakazi...hii ni hazina tosha, laiti wanawake wengi tungewezafunuliwa hili nafikiri maisha yangekuwa na unafuu hata unyanyasaji wa kipuuzi ungepungua. Maisha ni kusaidiana, kushirikiana.

With such thoughts, U will remain his property foverer, kama vile gari linavyotunzwa, nk....

Lakini ukimsoma Gaga tokea huko nyuma anastaili yake ya ku'changia' pato hilo.............
 
Wewe hujui raha ya kutunzwa bibi wewe, embu tuulize na sie, mwanaume lazima ajitutumue kutunza familia ndio uanaume wake utaonekana na heshima kwa ujumla, hivi ukikutana na mwanaume hataki ujitunze anataka akutunze utamkatalia?? hujapata tu katelero,hii imeandikwa hata kwenye vitabu vya dini kama unapinga sasa kwa ajili tu dunia imebadilika nido hapo chacha...na sio mwanamke anabaki tu na pesa zake, kuna vitu vingi sana majumbani ambavyo kina baba wanaviona ni vidogo huwa hawatilii manani, kamamapazia maua machungu ya maua mapicha hii yote huwa mwanamke anafanya ila inachukuliwa kama vitu vidogo...acha wajenge nyumba, wanunue magari, na vitu vingine vikubwa na sie tuendelee kununua unuform za watoto tu

mmh kazi ipo, nimefundishwa kutokuwa tegemezi na wazazi wangu, staili ya maisha unayoishi siiwezi kabisa, napenda kumjali mpenzi wangu kwa kila kitu na huwa najisikia vizuri sana nikifanya hivyo.

kwangu mimi mpenzi wangu ni rafiki yangu, namtendea vile ninavyopenda kutendewa mimi, kama ni nyumba tutajenga kwa pesa yangu na yake, magari tutanunua kwa pesa yangu na yake, na hivyo vitu vidogo vidogo ulivyoviorodhesha tutanunua kwa pesa yetu wote, siwezi sema hii ni pesa yangu na yeye hawezi sema ni pesa yake, ni zetu wote

unapenda sana kufugwa

Lakini pengine kwa kuanzia Gaga na Kate nmie ninavyowaelewa ni kuwa mnakubaliana lakini kwa mtindo tofauti.....labda kwa kuanzia tunaposema kuchangia kipato cha familia ina maanishaa fedha tu jamani? maana kuna wanawake wengine hawana pesa ila pesa za mumewe kwa kiasi kikubwa zimetokana na mawazo anayomshauri mwenzie jamani au mimi ndo nimechemsha??
 
Kusaidiana katelero ndio kule tunavyoungua mikono jikoni na kuwafulia hadi vyupi na kuwatunza kama watoto wetu vile na wao wanatujali na kututimizia mahitaji yetu...


unafua saa ngapi na kupika saa ngapi wakati unajikeep busy na kazi ambayo haina faida kwa familia, huyo mume unamtunza saa ngapi asubhi unaenda kazini jioni unarudi umechoka, kazi unayofanya haina manufaa na familia, kaa nyumbani mda wote umlee vizuri huyo mmeo
ni tabia za ubinafsi tu ndo zinazokusumbua, eti jukumu lake lol, na wewe kama mpenzi wake kazi yako ni nini, unadhani yeye hapendi kufanyiwa hayo unayofanyiwa
 
Oh Samahani ninamaanisha kuuliza hivi; baada ya kusoma majibu yako na ufafanuzi mzuri kwenye Imani, ndo nikaomba kujua
1. Mtu (mwanaume) ambaye anatakiwa kuifuata Imani hii, akawa hayatimizi hayo uliyoyaainisha hapo juu, atatafsiriwaje? na
2. Kuna wale wanaoshindwa kutimizia familia zao kwa sababu tu hali ya maisha haimruhusu (hana kazi au kazi yake ni kipato kidogo kukidhi mahitaji) na kuna wale wenye kipato lakini anaamua tu kutofanya kwa sababu anajua kuwa mkewe ana uwezo.

...mmnhh, Mwj1 una habari muongozo huo wa kiimani unashabahiana sana na muongozo wa kiserikali (Sheria ya Ndoa Tanzania?) ....Bahati mbaya, kina mama wengi hawajui haki zao kisheria...

chunguza.

PART IV PROPERTY, RIGHTS, LIABILITIES AND STATUS (ss 56-68)​
63. Duty to maintain spouse​
Except where the parties are separated by agreement or by decree of the courtand subject to any subsisting order of the court–(a) it shall be the duty of every husband to maintain his wife or wives and to providethem with such accommodation, clothing and food as may be reasonable having regard to his means and station in life;
(b) it shall be the duty of every wife who has the means to do so, to provide insimilar manner for her husband if he is incapacitated, wholly or partially, from​
earning a livelihood by reason of mental or physical injury or ill-health.

 
yes, a man should provide for his wife, and a wife should obey her husband
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kwahiyo MJ ukaamua kwenda kusoma hiyo ya "Men only" sio?
 

...mmnhh, Mwj1 una habari muongozo huo wa kiimani unashabahiana sana na muongozo wa kiserikali (Sheria ya Ndoa Tanzania?) ....Bahati mbaya, kina mama wengi hawajui haki zao kisheria...

chunguza.

Bahati yangu mbaya Mbu huo wa Imani hii siujui vizuri ngoja nianze kusaka............ si naruhusiwa kudai arrears za haki zangu zilizokuwa forfeited huko nyuma? LOL
 
Kwahiyo MJ ukaamua kwenda kusoma hiyo ya "Men only" sio?
ndivyo gazeti lilivyoandika

ngoja nimcheki FF kama anakubaliana na kamanda kabla sijachangia.... Haya mambo ya kupenda online yameanza kuniathiri kabisa
 
Back
Top Bottom