MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
- Thread starter
- #121
Aksante umenielewesha vizuri sana nimekuelewa....my beliefs dearest darling,...
Mwanzo wa mapenzi, wengi wetu hufanya kosa la kuficha makucha kwa lengo la kutoonyesha mapungufu/misimamo yetu ili tusiwakwaze wale tunaowapenda. No wonder, baada ya miezi michache ya maisha ya pamoja, kucha zinapoanza kuota
utasikia maneno "zamani hukuwa hivyo!",..."siku hizi umebadilika!" etc...
Nilipoandika naona shida kuacha moral values zangu, namaanisha inanibidi kuji adapt na moral values za Soulmate wangu
ili masikilizano yaimarishwe ndani ya nyumba. Tatizo ni pale personality zitapoanza ku clash...
mfano; mimi naamini una uhuru wa kujiamulia mambo fulani with the expectation unajua limits ya zuri na baya,
Lakini wewe kwa beliefs zako unaamini hapakuwa kosa kuzidisha uhuru zaidi ya uliopewa.
Iwapo Moral Values zangu zitakuwa compromised, zinanipelekea kwenye uncomfortable territories, jambo linaloniachia
machungu na maswali mengi kwanini sieleweki. Hoja ya Mkuu DC kuhusu kudumisha mila na desturi ili kuendelea kuwa mtawala, nimeichukulia kwamba inabidi nami nibadili hata kidogo mfumo wa maamuzi. Inabidi niwe muwazi zaidi nipate kueleweka nini ninachopenda, na nini nisichokipenda, na Consequenses zake ili mwenzangu nae aelewe.
Very interesting!!