"A man should provide for his wife. PERIOD"

Nimependa conclusion yako. Na nimekubali mawazo yako. To quote you" why should we take girls to school if there is someone who will provide for her?? Why should a married woman work while the husband can provide? Why should you separate your income while you are husband and wife?" and to add "Why are we getting married while we have selfish behaviors????"Nimependa sana hayo maswali

Ngoja nikonkludi hii sredi ya Mjukuu mtiifu kama ifuatavyo:

A husband should not provide for his wife..... Married couples should provide for themselves......... Hii dhana ya "kuwa mwili mmoja" isiwe kwenye viapo tu bali pia katika utekelezaji.....

Yes: Boyfriends should provide for their girlfriends....PERIOD!

If it is a must for a man to provide for his wife then:
1. Hakuna haja ya kupeleka watoto wa kike shule........ si ataolewa na mwanaume atakaye provide kwake
2. Kina mama hakuna kufanya kazi za kuwaingizia vipato...... wakae nyumbani kutuzalia na kulea watoto wakati sie twahangaikia kuwaprovaidia kila kitu
3. Ile mambo yao ya Beijing ipigwe vita na marufuku. Inakuwaje mnataka usawa wa kila kitu lakini kwenye familia "baba" ndo awe mchunikaji mkuu?

Nimejifunza mengi kwenye hii sredi: Napaswa kumshukuru Mungu kwa kuniozesha malaika. Haka kabibi kenu tunashea 50 fifty. Kipato changu na chake viko hadharani. Anakamata ATM yangu nami nakamata ya kwake. Nadraw kwenye akaunti yake kama yeye anavyofanya kwenye yangu... Tunatumia tutakavyo bila kuhojiana maswali....Haki ya Mungu hakuna raha kama hii......

Leo nikirudi nyumbani, ntampigia makofi matatu ya upendo.
Ngoja nikajipumzishe kitandani.
 
Hii ni kweli sana. kila mwanaume mwenye akili timamu na anaejua jenda hatakataa hili suala.
cha msingi hapa ni kwa aina dada/mama kuelewa kua hizo care znategemea na uwezo wa mwanmme/baba,
sio kwa kua imekua hivi basi unataka vitu ambabvyo in real sense baba hawezi kuvitoa.
 
Boss hapo sijakuelewa kabisa. Kuna wanandoa wanashindana? Wanashindana nini sasa? Kutafuta? Au una maana kutambiana? Sijakuelewa kabisa? Kama wanashindana na maisha hapo nakubali kwani mwisho wa siku ni kwa manufaa ya familia. Lakini inakuwaje mume na mke washindane? Are they competitors or partners?? Labda ufafanue. Na kama kweli imefikia wanandoa kushindana basi jua hamna ndoa hapo Boss wangu.

kinachotakiwa ni kwamba hata kama mkeo atafanya biashara
usishindane nae kwa pesa za matumizi ya familia
halafu tukisema ku provide ni mpaka hiyo mitaji ya kufuga kuku
au kumsomesha afanye kazi nzuri ya kipato,but still mume kama una uwezo
provide kila kitu,bila kushindana
 
Sio tu wanalack musculinity, pia kuna suala la tamaduni ambazo mwanamme kama si musculine hawezi pata heshima ya mwanamme.

Mie kuna saa huwa nakubaliana na utartibu wa zamani wa mababu, mtu aoe kwenye ama kabila lake ama jamii yake. Hii inapunguza migongano ya kimitazamo inayotokana na tofauti za tamaduni.

Hapo unaongelea masculine ambayo wanaume wengi wa kizazi hiki wana lack. Nilielezea kwa undani kwenye thread ya Lizzy jana, I can't repeat it here. Sorry.
 
Some things are easier said than done.

Kuprovide 100% kwa familia wakati mke ana kipato si kitu rahisi, labda Baresa tu. Watoto watasomaje St. Kayumba kwa hela ya baba wakati mama akichangia watoto wanaweza kwenda St. Intenesheno?

Sometimes mwanamme kujaribu ku-provide 100% na hali mkewe naye ana kichapo ni njia ya mwanamme kuficha weakness zake zingine (eg poor night food, cheating, ulevi n.k), wakati mwingine ni kuficha inferiority zake mwenyewe.

Sio rahisi mke ana kipacho afu kisitumike kabisa kwa familia, na hali watoto wanalelewa na hg wakati mama yuko kazini.

Nimependa conclusion yako. Na nimekubali mawazo yako. To quote you" why should we take girls to school if there is someone who will provide for her?? Why should a married woman work while the husband can provide? Why should you separate your income while you are husband and wife?" and to add "Why are we getting married while we have selfish behaviors????"Nimependa sana hayo maswali
 
Mie kuna saa huwa nakubaliana na utartibu wa zamani wa mababu, mtu aoe kwenye ama kabila lake ama jamii yake. Hii inapunguza migongano ya kimitazamo inayotokana na tofauti za tamaduni.

Unadhani hao wanaoa kwenye makabila ama jamii zao wanakuwa musculine zaidi?

Halafu siku hizi musculine inatafsiriwa in terms of money. The more money he has, the more musculine he is.

Kuhusiana na migongano ya kimitazamo kuna mdau alishasema hapa kuwa actually the best match ni kati ya mwanaume wa kichaga na mwanamke wa kipare.

Culture ya kichaga ni kutafuta pesa kwa njia yoyote ile wakati culture ya kipare ni kuhakikisha kuwa pesa inayopatikana haitumiki ovyo ovyo.

Sasa hapo lazima hiyo "mixed race" family iwe very musculine kifedha.
 
Some things are easier said than done.

Kuprovide 100% kwa familia wakati mke ana kipato si kitu rahisi, labda Baresa tu. Watoto watasomaje St. Kayumba kwa hela ya baba wakati mama akichangia watoto wanaweza kwenda St. Intenesheno?

Sometimes mwanamme kujaribu ku-provide 1 00% na hali mkewe naye ana kichapo ni njia ya mwanamme kuficha weakness zake zingine (eg poor night food, cheating, ulevi n.k), wakati mwingine ni kuficha inferiority zake mwenyewe.

Sio rahisi mke ana kipacho afu kisitumike kabisa kwa familia, na hali watoto wanalelewa na hg wakati mama yuko kazini.

..................Dah hapa sasa ni mengine kabisa!...................
 
He he he, kama definition ya musculine ni pesa, basi nimeachwa na huu mjadala, hata hela ya sembe inaleta musculinity?
Nadhani hapa tuanze na definition ya musculinity, najua kila jamii itakuwa na definition yake, anyway hakuna clear cut off.

Mpare na mchaga:A S 13::A S 13:, ni sawa na mwarabu na mchina sijui itakuwaje, maana mmoja anajua kutunza pesa, mwingine kutafuta na kuzitumia.

Unadhani hao wanaoa kwenye makabila ama jamii zao wanakuwa musculine zaidi?

Halafu siku hizi musculine inatafsiriwa in terms of money. The more money he has, the more musculine he is.

Kuhusiana na migongano ya kimitazamo kuna mdau alishasema hapa kuwa actually the best match ni kati ya mwanaume wa kichaga na mwanamke wa kipare.

Culture ya kichaga ni kutafuta pesa kwa njia yoyote ile wakati culture ya kipare ni kuhakikisha kuwa pesa inayopatikana haitumiki ovyo ovyo.

Sasa hapo lazima hiyo "mixed race" family iwe very musculine kifedha.
 
Why mengine MJ1?


Unadhani kwa nini mwanamme anashindwa kumwambia mkewe achanie matumizi ya familia kama kila kitu kiko sawa? Kuna baadhi ya wana mme wanaogopa wake zao kuchangia matumizi ili wasije wakadharauliwa, inakuwa kama anajihami, why kujihami kama kila kitu kiko sawa? Hai make sense kwangu.

..................Dah hapa sasa ni mengine kabisa!...................
 
Why mengine MJ1?


Unadhani kwa nini mwanamme anashindwa kumwambia mkewe achanie matumizi ya familia kama kila kitu kiko sawa? Kuna baadhi ya wana mme wanaogopa wake zao kuchangia matumizi ili wasije wakadharauliwa, inakuwa kama anajihami, why kujihami kama kila kitu kiko sawa? Hai make sense kwangu.

Aksante Da Mkubwa Kongosho kusema ukweli hapa umenipa another perspective ya kuliangalia hili. Umenifungua macho ya moyoni dah.
 
Last edited by a moderator:
Kwakawaida mke anapenda mme anae juwa wajibuwake ndo maana wanaume twafanya hayo niwajibu wetu
 
Nadhani hapa tuanze na definition ya masculinity, najua kila jamii itakuwa na definition yake, anyway hakuna clear cut off.

It will also depend on whether you will stick with the traditional definition of masculinity or adopt the so called modern understanding of masculinity: The New Masculinity - AskMen

The new understanding of masculinity requires a man to display his emotions and be romantic to his partner, especially siku hii ya leo, but others are arguing that this is in fact a demasculinization of men.

Nonetheless, many cultures equate money to success. The more money a man has the more successful he is. Hiyo ndiyo the rule of thumb ya mujini.

So, money may also be connected to a man's sense of his masculinity. Akiwa ana pesa zadi ndiyo ataonekana mwanaume zaidi.

Probably, ndiyo maana baadhi ya wanawake wakikutana na mwanaume kwa mara ya kwanza na bado hawajui masculine yake kipesa wanaangalia amevaa kiatu cha aina gani.

So, one could say that siku hizi wengi (wake kwa waume) wanampima mwanaume kwa kuangalia kipato chake, that is, what he is actually worth, not as a human being, but how much he can command on the "open market" than on his human and social values.
 
Kuna wengine bna anaoa mwanamke then inatokea zaki mwanamke anakula hela ndefu mara nyingi sana kumzidi jamaa...
Sasa hapo em tufunguane macho, bado mwanaume ndio ataprovide?
 
Back
Top Bottom