"A man should provide for his wife. PERIOD"

"A man should provide for his wife. PERIOD"

unafua saa ngapi na kupika saa ngapi wakati unajikeep busy na kazi ambayo haina faida kwa familia, huyo mume unamtunza saa ngapi asubhi unaenda kazini jioni unarudi umechoka, kazi unayofanya haina manufaa na familia, kaa nyumbani mda wote umlee vizuri huyo mmeo
ni tabia za ubinafsi tu ndo zinazokusumbua, eti jukumu lake lol, na wewe kama mpenzi wake kazi yako ni nini, unadhani yeye hapendi kufanyiwa hayo unayofanyiwa


My dia haya ni mazungumzo tu na kubadilishana mawazo.........dont get too personal pls.
 
Kwahiyo MJ ukaamua kwenda kusoma hiyo ya "Men only" sio?
As usual.......unaona dots nyeupe kwenye karatasi nyeupe GY!!
Ndio nlitaka kujua umbea gani mwapewa LOL
 
unafua saa ngapi na kupika saa ngapi wakati unajikeep busy na kazi ambayo haina faida kwa familia, huyo mume unamtunza saa ngapi asubhi unaenda kazini jioni unarudi umechoka, kazi unayofanya haina manufaa na familia, kaa nyumbani mda wote umlee vizuri huyo mmeo
ni tabia za ubinafsi tu ndo zinazokusumbua, eti jukumu lake lol, na wewe kama mpenzi wake kazi yako ni nini, unadhani yeye hapendi kufanyiwa hayo unayofanyiwa

Jamani Katelero Katelero Katelero Katelero Katelero!
 
ndivyo gazeti lilivyoandika

ngoja nimcheki FF kama anakubaliana na kamanda kabla sijachangia.... Haya mambo ya kupenda online yameanza kuniathiri kabisa

Yaani nawe Kamanda wanipiga majiwe wakati sote twaishi nyumba za vioo?? sawa bwana
Haya nani tena huyo umempenda juu ya msitari?
 
unafua saa ngapi na kupika saa ngapi wakati unajikeep busy na kazi ambayo haina faida kwa familia, huyo mume unamtunza saa ngapi asubhi unaenda kazini jioni unarudi umechoka, kazi unayofanya haina manufaa na familia, kaa nyumbani mda wote umlee vizuri huyo mmeo
ni tabia za ubinafsi tu ndo zinazokusumbua, eti jukumu lake lol, na wewe kama mpenzi wake kazi yako ni nini, unadhani yeye hapendi kufanyiwa hayo unayofanyiwa

Kate please mama! hebu tudailuti kidogo hali.....tell me hiyo siginecha yako ina maanisha nini?? mi imenikatisha tamaa ya kupenda!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
unafua saa ngapi na kupika saa ngapi wakati unajikeep busy na kazi ambayo haina faida kwa familia, huyo mume unamtunza saa ngapi asubhi unaenda kazini jioni unarudi umechoka, kazi unayofanya haina manufaa na familia, kaa nyumbani mda wote umlee vizuri huyo mmeo
ni tabia za ubinafsi tu ndo zinazokusumbua, eti jukumu lake lol, na wewe kama mpenzi wake kazi yako ni nini, unadhani yeye hapendi kufanyiwa hayo unayofanyiwa
Hahahaaaaaaaa wasiotunzwa utawajua tu
 
yes, a man should provide for his wife, and a wife should obey her husband

...nasikia 'manukato' ya Ubwana na Utwana hapo, hhhe heh!
unafua saa ngapi na kupika saa ngapi wakati unajikeep busy na kazi ambayo haina faida kwa familia, huyo mume unamtunza saa ngapi asubhi unaenda kazini jioni unarudi umechoka, kazi unayofanya haina manufaa na familia, kaa nyumbani mda wote umlee vizuri huyo mmeo
ni tabia za ubinafsi tu ndo zinazokusumbua, eti jukumu lake lol, na wewe kama mpenzi wake kazi yako ni nini, unadhani yeye hapendi kufanyiwa hayo unayofanyiwa

Old Skool kind of a wife. Kate, Big Up sana,...nadra sana kupata wanawake wa namna yako
kwa maisha ya kisasa. Ubarikiwe na kujaaliwa kila lililo na heri kwako.
 
...nasikia 'manukato' ya Ubwana na Utwana hapo, hhhe heh!


.

hahahaaaaaaaaaa, swahiba, mie nadhani kama kuna ka-fact fulani hapo..... Ilivyoandikwa!!!
 
Hahahaaaaaaaa wasiotunzwa utawajua tu

LOL, Gaga weeee!.... hhhaaa hha, uwanja ushachafuka huu,
peshageuka taarabu na mipasho...dahhh

Nivute kiti huku nikitafuna bisi zangu tu hapa, khaaaa?!
 
Kupendana raha jamani............Special dedication kwa Shantel


 
Last edited by a moderator:
hahahaaaaaaaaaa, swahiba, mie nadhani kama kuna ka-fact fulani hapo..... Ilivyoandikwa!!!

Ssssshhhhhh...."...kamanda ngoja kwanza, sichangi lolote humu...nishakoswa koswa na kiatu....will be back!"
 
Mwanamme kumtimizia mwanamke mahitaji yake ya kila siku, bila kuzidi kipato chake, ndio sahihi. Lakini haitakiwi wanawake tubweteke kungoja kupewa tu. Inabidi na sisi tufanye kazi kwa bidii na tusiwe tegemezi kwa kila jambo letu.
 
...nasikia 'manukato' ya Ubwana na Utwana hapo, hhhe heh!


Old Skool kind of a wife. Kate, Big Up sana,...nadra sana kupata wanawake wa namna yako
kwa maisha ya kisasa. Ubarikiwe na kujaaliwa kila lililo na heri kwako.

Kweli Mbu huyu ni rare spiece...... kwa kweli. Big Up Kate

Hata hivyo Mbu hii naona ukiilink na Wheel of Life itawezekana tu.............. Basi tu wengi wetu (Including me nakiri) tumekuwa wagumu kidogo!
Kumfulia, kumpikia, kumbeba na mazagazaga yake yote yanawezekana kufanyika kama tu yanafanyika juu ya foundation ya upendo na si wajibu. Kwa sababu with Upendo you will find a time to care, handle and even play with your man..kati ubuzy wa kazi za wakoloni hutokisikia kama kisingizio. Upendo unaoambatanishwa na appreciasion na ushirikiano toka kwa apendwaye.

Lakini ukiyachukulia kuwa ni wajibu wako wewe kama mke/mume na ikiwa mwenzio haapreciate wala kushirikiana nawe kufanikisha haya, utajachoka tu na kijisababu kidooogo tu cha kukuruhusu kutokufua, kupika au kubeba utakikuza na kukijengea hoja!

Ingawaje hatupaswi kukata tamaa..........si ndo kuwekeza pension ya uzeeni?!

Hebu mie niandae kisosi cha ku'mpokea' Ba msap kipenzi lol
 
Kama pesa ipo usipowaprovide wife, watoto na familia utamprovide nani??
Lakini kama pesa haipo huwezi kwenda kuiba au kuua watu na ku-risk your life eti just because you are a man and you need to provide for the mrs
Ofcourse nitaiba ili watoto na wife wasilale njaa, lakini kamwe sitaiba ili wife aende saloon au anunue kiatu kipya
Living according to your means is absolutely important
safi sana.
 
That is what I define a strong and responsible woman.
Yani wewe hata ukiachwa peke yako majukumu utayaweza. I was also raised to be independent; utegemezi kwangu ni kitu ambacho siwezi na sijawahi. Na pesa si yangu wala yake ni ya familia.

mmh kazi ipo, nimefundishwa kutokuwa tegemezi na wazazi wangu, staili ya maisha unayoishi siiwezi kabisa, napenda kumjali mpenzi wangu kwa kila kitu na huwa najisikia vizuri sana nikifanya hivyo.

kwangu mimi mpenzi wangu ni rafiki yangu, namtendea vile ninavyopenda kutendewa mimi, kama ni nyumba tutajenga kwa pesa yangu na yake, magari tutanunua kwa pesa yangu na yake, na hivyo vitu vidogo vidogo ulivyoviorodhesha tutanunua kwa pesa yetu wote, siwezi sema hii ni pesa yangu na yeye hawezi sema ni pesa yake, ni zetu wote

unapenda sana kufugwa
 
Mwanamme kumtimizia mwanamke mahitaji yake ya kila siku, bila kuzidi kipato chake, ndio sahihi. Lakini haitakiwi wanawake tubweteke kungoja kupewa tu. Inabidi na sisi tufanye kazi kwa bidii na tusiwe tegemezi kwa kila jambo letu.

Refer Post # 151 ya mchungaji!
 
...nasikia 'manukato' ya Ubwana na Utwana hapo, hhhe heh!

.

................Mwenzenu mie hapo kwenye 'Ubwana' na 'Utumwa' napatafsiri tofauti mwe!!
Hivi kuna ubaya gani mpenzio akikuta Hebu njoo ewe mtumwa wangu wa mapenz .....with that husky voice na tabasamu pana
Ikisha nawe waitika kwa mahaba .... Naja Bwana wangu mpenzi ......mwe sijui ndo nshadata !! Au utumwa na ubwana lazima uendane na manyanyaso??
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hongera mamito kila mwanamke lazima ajishughulishe ,vipi kuhusu yale majukumu yetu tunayolalamikiwa kila siku unaweza vipi kucopy nayo hapo hapo ukitoka pasu na mzee kwenye majukumu mengine.
Unampa mwenza wako nafasi yake au ndo zile za stong na independent woman zinajitokeza kila mkikwaruzana mbona nahisi harufu ya ubabe kwenye post yako.

That is what I define a strong and responsible woman.
Yani wewe hata ukiachwa peke yako majukumu utayaweza. I was also raised to be independent; utegemezi kwangu ni kitu ambacho siwezi na sijawahi. Na pesa si yangu wala yake ni ya familia.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
................Mwenzenu mie hapo kwenye 'Ubwana' na 'Utumwa' napatafsiri tofauti mwe!!
Hivi kuna ubaya gani mpenzio akikuta Hebu njoo ewe mtumwa wangu wa mapenz .....with that husky voice na tabasamu pana
Ikisha nawe waitika kwa mahaba .... Naja Bwana wangu mpenzi ......mwe sijui ndo nshadata !! Au utumwa na ubwana lazima uendane na manyanyaso??

...nimestahmili nisiijibu hii nimeshindwa, kwani najua nitapopolewa tena mawe kukujibu.
Mwj1 ushaandika hapo kuna tabasamu na itiko la kimahaba.

Kuna utofauti na "Weee! Geuka huku!" na uso umekunjiwa,....hata itiko litakuwa la mashaka, au?
hha hha ha...eti Husky Voice, I wish!
 
Back
Top Bottom