"A man should provide for his wife. PERIOD"

My dia, kuhusu hapo kwenye tendo la ndoa pia kuna wanaume wanastahili lawama (kwa hili siongelei uzoefu...lol.....ni rafiki yangu aliyekwenye ndoa alinisimulia). Yeye mume wake anafanya kazi mkoani, anaweza akapitisha miezi sita huko na wala asimtumie mkewe text ya nimekumiss. Anasema akitaka mazungumzo na mumewe yawe marefu kidogo ni lazima wazungumzie miradi waliyonayo na jinsi ya kuiendeleza. Akisema achomeke hapo neno la mapenzi mumewe huwa mkali na kumshutumu kuwa yeye (mke) anawaza ngono tu muda wote. Na akibahatika kurudi labda kwa wiki anaweza kukaa ata siku 3 hajamgusa mke wake.

Wewe unadhani kwa case kama hii nani wakulaumiwa?


kwani huyo mama yeye hawezi kujitahidi kila wkend kwenda mkoa kumfata hubby?.....hapo blue y huyo mama yeye asubirie tu kuguswa, yeye hawezi kugusa?
 
Sharing Is Caring....

Jukumu la kulea familia ni la baba na mama. Kipato cha wote wawili kinapaswa kuchanganywa pamoja na kutumiwa kwa pamoja. Kama baba atatumia kipato chake peke yake, cha mama kitatumika wapi? Vibustani au?

Kwangu mimi ubaba ambao ndio menejimenti ya juu katika familia utatimilika na kuheshimika iwapo:
Baba anakuwa injini ya mama........yaani kukidhi haja ya kimwili ya mama... ampe ile kitu roho inapenda
Baba atamlinda na kuwajali mama na watoto.......yaani aonyeshe ujemedari mkuu katika familia
Baba atakuwa na maamuzi ya mwisho makuu, baada ya kujadiliana na kukubaliana na mama......
Baba atakuwa mdomo wa familia............yaani msemaji mkuu wa familia

Sasa hii ya mwanaume kuprovide.........what if ikatokea mama akawa na kipato kuliko baba....ndoa ivunjike siyo?

Hata sijui leo nimeamkaje, ngoja nirudi kitandani.
Mwanaume lazima a provide kwa familia yake period....acheni kukwepa majukumu yenu...mama anasaidia tu
 
acha vituko mj01

title ingekuwa mwanaume ku provide....

mimi binafsi nakubaliana kwa asilimia 100
but tatizo ni je kama mtu hana uwezo je????

mimi napenda kama uwezo upo,mtu aprovide kila kitu

tazama waarabu na wake zao

sisi waswahili kushindana na wake zetu inapunguza upendo,heshima na hadhi yetu
mbele ya jamii zingine.......


Ndio MAANA wanakuita The 'BOSS'
Dreamliner sayz thanks on this yuziful post
 
Mwanaume aki provide anakuwa na confidence hata za kukukaripia unapokosa, yaani ukiwa unaprovide mwanamke anakuwa mnyonge sana.twende mbele turudi nyuma kila mtu lazima a pay duty zake, sio kujifanya tu mapenzi ya kisasa, yanaharibu mahusiano tu

BB sasa unataka kusema wanawake ambao wanachangia kipato cha familia hawawezi kukaripiwa wakikosa? Mimi nafikiri nafasi ya mwanaume kama mwanaume ndani ya nyumba inabaki pale pale (Mtanisamehe wenye mlengo mwingine) Mume kama mume ni kichwa cha familia, yeye ni wa kutoa mwongozo (akishirikiana na mkewe) pamoja na maamuzi. Yeye ndie wa kuhakikisha 'uhai' wa familia na mama ni msaidizi wake. Angalau kimila na tamaduni zetu na hii wala tusiitafsiri kama ugandamizwaji wa wanawake kwa sababu hajagandamizwa mtu mpaka pale unyanyasaji unapohusika. Mimi ninamtegemea mwenzangu ajue wapi pa kutuhifadhi/sitiri sisi wanae; nini cha kutulisha nitajua mimi lakini kitapatikana vipi ni yeye wa kuniongoza; ahakikishe anatuvesha again tunavaa nini nitamsaidia lakini tunavipataje ni yeye wa kuumiza kichwa kwanza ....akiona maumivu yanazidi..........will always be there his perfect assistant! Lol

Kuhusu kuplay role yake kama yeye nadhani BB hapa tuko pamoja!
 
Babu tatizo linakuja pale baba anaposhindwa kusimama kwenye nafasi yake,haijalishi mama ana kipato kikubwa atajazia kwenye mapungufu.

Unakuta baba huyo huyo mpaka tofali anataka mama anyanyue kazi zake ni mwendo wa kuchapa lapa tu unategemea nini?

Sharing Is Caring....

Jukumu la kulea familia ni la baba na mama. Kipato cha wote wawili kinapaswa kuchanganywa pamoja na kutumiwa kwa pamoja. Kama baba atatumia kipato chake peke yake, cha mama kitatumika wapi? Vibustani au?

Kwangu mimi ubaba ambao ndio menejimenti ya juu katika familia utatimilika na kuheshimika iwapo:
Baba anakuwa injini ya mama........yaani kukidhi haja ya kimwili ya mama... ampe ile kitu roho inapenda
Baba atamlinda na kuwajali mama na watoto.......yaani aonyeshe ujemedari mkuu katika familia
Baba atakuwa na maamuzi ya mwisho makuu, baada ya kujadiliana na kukubaliana na mama......
Baba atakuwa mdomo wa familia............yaani msemaji mkuu wa familia

Sasa hii ya mwanaume kuprovide.........what if ikatokea mama akawa na kipato kuliko baba....ndoa ivunjike siyo?

Hata sijui leo nimeamkaje, ngoja nirudi kitandani.
 
NDOA ndoano..... Hata maneno matakatifu yanasema, MKE ni msaidizi tu wa MUME.. Kama Mke ana kazi, Mwanamme hutakiwi kushupalia kazi /kipato chake... Hata kama umezidiwa mara dufu.... Kazi yako iko palepale.. Anaekwepa hilo jukumu.. Ana WALAKINI...
 
Au ungeweka First Born loves Ashadii as his sister and loves cheusi mangala as his grandmon, Husninyo as his Darling, The Boss as his uncle, Lizzy as his sweetie, saint ivuga as bro, afrodenz as shemeji, Preta as his beibei. Hahahahahahahahahahahahahahah, itakuwa ndefu sana
hahahahaha! Hujatulia wewe. Haya first born mwenzangu hujambo?
 
Ukweli ndo huo MJI angalia malalamiko ya wanawake wengi yameegemea kwenya hayo mambo mawili uliyoweka hapo juu.
wanaume wengi wamekimbia majukumu yao,imefanya wamama wengi kugeuka ndo nguzo ya familia nyingi tunategemea heshima itatoka wapi kama sio kulaumiana kila kukicha.

Hapa chauro hata sipingani na wewe yaani nakuunga na nyanya na binzari kabisa......na si kwamba baba hana uwezo!! Basi tu kwa vile anaona mama anafanya. Nilishasikia maneno ya ...umemdekeza mwenyewe tangu uchumba wenu, we unatoa tu unajinunulia chakula, akitaka mtoke, unajinunulia nguo ya outing .ulidhani sifa? Iweje abadilike wakati huu? nabaki nashangaa tu!!

Lakini pia ukiishikia sana bango utaambiwa unaidhalilisha nguvu ya kumkomboa mwanamke asiwe tegemezi mwe!! Sasa hapa anayekua tegemezi ni mwanamke kwa kuwa anapigania haki za wanae !!
 
kwani huyo mama yeye hawezi kujitahidi kila wkend kwenda mkoa kumfata hubby?.....hapo blue y huyo mama yeye asubirie tu kuguswa, yeye hawezi kugusa?

Huyo dada anashindwa kwenda kwa sababu ya visingizio vya mume na mara ya mwisho kamwambia usije mpaka nikuambie maana mi niko bize sana. Yaani hapa suala zima nikama mume haoni umuhimu kwa kuwa na mkewe kwenye tendo. Hata akiamua kuanzisha hapati ushirikiano, ndo nayeye anaona isiwe tabu.
 
Kama vipato vinaruhusu kwa wote wawili ni vizuri kusaidiana hyo haimaanishi mwanaume aanze kumtegea mkewe atoe hela ya mboga. Mwanamke unapopunguza kuomba omba hela kwa mmewe za saluni, shopn za watoto etc pia anakuwa anakusaidia mmewe.
Wababa, angalieni wake zenu. Hata kama hawatoi hela ya msosi nyumbani ila kuna gharama zingine anazicover binafsi basi ni msaada tosha na muache kupiga kelele kuwa wanawake ni mategemezi.
 
Babu tatizo linakuja pale baba anaposhindwa kusimama kwenye nafasi yake,haijalishi mama ana kipato kikubwa atajazia kwenye mapungufu.

Unakuta baba huyo huyo mpaka tofali anataka mama anyanyue kazi zake ni mwendo wa kuchapa lapa tu unategemea nini?
Sasa hilo ni tatizo na huwezi kulijenerolaiz.......... na hebu nambie Chauro.... ikatokea hakuna mapungufu katika kipato cha baba, cha mama kinapaswa kiende wapi?
 
BB sasa unataka kusema wanawake ambao wanachangia kipato cha familia hawawezi kukaripiwa wakikosa? Mimi nafikiri nafasi ya mwanaume kama mwanaume ndani ya nyumba inabaki pale pale (Mtanisamehe wenye mlengo mwingine) Mume kama mume ni kichwa cha familia, yeye ni wa kutoa mwongozo (akishirikiana na mkewe) pamoja na maamuzi. Yeye ndie wa kuhakikisha 'uhai' wa familia na mama ni msaidizi wake. Angalau kimila na tamaduni zetu na hii wala tusiitafsiri kama ugandamizwaji wa wanawake kwa sababu hajagandamizwa mtu mpaka pale unyanyasaji unapohusika. Mimi ninamtegemea mwenzangu ajue wapi pa kutuhifadhi/sitiri sisi wanae; nini cha kutulisha nitajua mimi lakini kitapatikana vipi ni yeye wa kuniongoza; ahakikishe anatuvesha again tunavaa nini nitamsaidia lakini tunavipataje ni yeye wa kuumiza kichwa kwanza ....akiona maumivu yanazidi..........will always be there his perfect assistant! Lol

Kuhusu kuplay role yake kama yeye nadhani BB hapa tuko pamoja!

My dia, sidhani kama hawawezi kukaripiwa........ila wababa wenyewe wanajistukia na kuwa hawana confidence ya kulianzisha. Na ndio inafikia hatua baba hawezi kutoa maamuzi magumu ya familia yake maana hana nyenzo zakumuwezesha kutekeleza majukumu hayo. Ndio maana tunawaomba wanaume warudi kule kwenye asili yao na waache mchezo kwenye hilo.
 
My dia, kuhusu hapo kwenye tendo la ndoa pia kuna wanaume wanastahili lawama (kwa hili siongelei uzoefu...lol.....ni rafiki yangu aliyekwenye ndoa alinisimulia). Yeye mume wake anafanya kazi mkoani, anaweza akapitisha miezi sita huko na wala asimtumie mkewe text ya nimekumiss. Anasema akitaka mazungumzo na mumewe yawe marefu kidogo ni lazima wazungumzie miradi waliyonayo na jinsi ya kuiendeleza. Akisema achomeke hapo neno la mapenzi mumewe huwa mkali na kumshutumu kuwa yeye (mke) anawaza ngono tu muda wote. Na akibahatika kurudi labda kwa wiki anaweza kukaa ata siku 3 hajamgusa mke wake.

Wewe unadhani kwa case kama hii nani wakulaumiwa?

Hapo literary hakuna ndoa....Hao ni business partners. Wanaweza kuendelea na huo uhusiano ila kila mtu akatafuta suluhu binafsi ya jinsi ya kukata kiu!
 
Huyo dada anashindwa kwenda kwa sababu ya visingizio vya mume na mara ya mwisho kamwambia usije mpaka nikuambie maana mi niko bize sana. Yaani hapa suala zima nikama mume haoni umuhimu kwa kuwa na mkewe kwenye tendo. Hata akiamua kuanzisha hapati ushirikiano, ndo nayeye anaona isiwe tabu.


kuna shida mahali, sio bure.
 
  • Thanks
Reactions: Kbd

....am completely lost in translations hapa, na maoni ya walio wengi
yameegemea kule kwa huyo bwana maina. Sijui ni usingizi? aahhh...nikalale kwanza.

Eh Baba hujaamka tu?
Punguza ulevi LOL
 
BB sasa unataka kusema wanawake ambao wanachangia kipato cha familia hawawezi kukaripiwa wakikosa? Mimi nafikiri nafasi ya mwanaume kama mwanaume ndani ya nyumba inabaki pale pale (Mtanisamehe wenye mlengo mwingine) Mume kama mume ni kichwa cha familia, yeye ni wa kutoa mwongozo (akishirikiana na mkewe) pamoja na maamuzi. Yeye ndie wa kuhakikisha 'uhai' wa familia na mama ni msaidizi wake. Angalau kimila na tamaduni zetu na hii wala tusiitafsiri kama ugandamizwaji wa wanawake kwa sababu hajagandamizwa mtu mpaka pale unyanyasaji unapohusika. Mimi ninamtegemea mwenzangu ajue wapi pa kutuhifadhi/sitiri sisi wanae; nini cha kutulisha nitajua mimi lakini kitapatikana vipi ni yeye wa kuniongoza; ahakikishe anatuvesha again tunavaa nini nitamsaidia lakini tunavipataje ni yeye wa kuumiza kichwa kwanza ....akiona maumivu yanazidi..........will always be there his perfect assistant! Lol

Kuhusu kuplay role yake kama yeye nadhani BB hapa tuko pamoja!
Mjukuu mtiifu............BINGO!

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 kama za wabunge wa CCM.

Swali la kizushi..... Ikatokea baba anaprovide kila kitu....... na hiyo kwenye bold hapo isitokee.. Yaani baba ni Full Mkwanja kama Rostam mdogo.... Kipato cha mama kinapaswa kiende wapi?

Afu na hiyo signecha yako umeidediketi kwa nani?
 
Rafiki suala ni kusaidiana lakini kwenye kusaidiana kila mmoja lazima asimame kwenye nafasi yake,mbona nimeona watu baba anatoa kila kitu,kipato cha mama kinatumika kama serving na kama ikitokea tofauti mama anatumia kipato chake kusaidia mambo madogo madogo ya familia.
kwa wale ambao baba anapata kidogo mama anaweza kuendeleza gurudumu lakini baba lazima ajiweke kwenye nafasi yake mwanamke atamuheshimu tu sio mama anapigana kufa kupona halafu ukirudi nyumbani bakuli wazi matusi mdomoni hapo hapo unataka mrukia kama fisi aliyekosa maji matatizo matupu heshima itakuwepo kweli?

Mawasiliano ni jambo la muhimu sana kwenye mahusiano yoyote tusichukue yale tunayoamini kujiaminisha tunafanya sahihi kwa wenza wetu.Unaweza fikiri ulitwanga vizuri sana usiku umemridhish wife kumbe alihitaji busu tu na neno zuri moja kutoka kwako.

Sasa hilo ni tatizo na huwezi kulijenerolaiz.......... na hebu nambie Chauro.... ikatokea hakuna mapungufu katika kipato cha baba, cha mama kinapaswa kiende wapi?
 
Hapo literary hakuna ndoa....Hao ni business partners. Wanaweza kuendelea na huo uhusiano ila kila mtu akatafuta suluhu binafsi ya jinsi ya kukata kiu!

Mimi nimemshauri rafiki yangu awe na subira na maombi mengi ipo siku hali itarudi kuwa shwari kama zamani
 
Back
Top Bottom