Ngoja na mimi nimalizie kwa kusema hivi; ninapozungumzia mwanaume ni lazima aprovide kwenye familia yake haina maana mama akae tu na kufanya kioo pesa zake. Ukweli ni kwamba kulingana na imani yangu mume ni kichwa na kiongozi ktk familia na kututunza ni jukumu lake la kwanza na mimi nitakuwepo siku zote kumlinda. Yeye kama baba ni captain, tunamtegemea yeye kwa kila kitu na kwa sababu tunapendana naamini atanishirikisha katika mambo yooote na sitaacha familia yetu iaibike katika mazingira yoyote.Ninacho sisitiza hapa ni kwamba some one should take charge ya familia. Hata kama nitachangia 50/50 lakini bado mume lazima awe kiongozi na maamuzi ya mwisho yatoke kwake.