Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Na hili nalo ndilo NENO LA MUNGU!hizi imani inabidi zifanyiwe marekebisho kidogo, inasema wana ndoa ni mwili mmoja, wakati huo huo inasema mwingine ahudumiwe kwa kila kitu,
sasa huo umoja ndo uko wapi hapo, swala la heshima kwa mume na kusaidiana ni vitu viwili tofauti, yes mume aheshimiwe kama kichwa cha familia,
vile vile wanandoa wasaidiane kwa hali na mali