Wanajamvi
Nimesikia kuwa J Kikwete anategemea kwenda kumuona Dr Ulimboka Mchana huu
Stay tuned
nitafurahi kiama akipokelewa na vinyesi na mayai vizaNitafurahi sana kama akipopolewa mawe hapo Muhimbili
Awali ya yote yatupasa kumpa pole na kumuombea apone haraka dakatari wetu huyu bwana Ulimboka na walaaniwe kwa nguvu zote wale wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine.
Wengi wetu kwa asilimia kubwa tumekuwa na imani kuwa, utekelezaji wa jambo hilo ni njama au mkakati wa serikali kupunguza kasi ya harakati za madaktari katika kudai haki zao.
Tunapoihusisha moja kwa moja serikali kwa upande mmoja wa mbele, hebu tugeuke nyuma na kuangalia upande wa pili.
Bila shaka Dk Ulimboka alikuwa na maadui wa hatari wenye chuki binafsi naye hasa kipindi cha vugu vugu hili la migomo ya madaktari. Kuna watu waliopoteza madaraka yao matamu kutokana na kadhia hii, upo uwezekano wa kupanga njama za kulipiza kisasi.
Kutumika polisi si kitu mbele ya pesa. Ukiwa na fungu la kutosha ukitaka kuwatumia polisi njaa kwa ajili ya uhalifu unawatumia bila shida. Ikiwa wapo ambao hufanya ujambazi na kupora mali za watu, itakuwa hawa wa kukodiwa! Tugawanye fikra na mitazamo yetu, wakati tunaitupia jicho la mashaka serikali.
Tuangalie na upande wa pili, wale waliomwaga unga kutokana na harakati hizi tunawachukuliaje? Hapa mhalifu halisi anaweza kujificha chini ya kivuli cha serikali.
Mwisho napenda niwapongeza madaktari wote waliotoa kichapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa alikuwa mmoja wa wateka nyara.
Mungu msaidie Dk Ulimboka apone haraka ili aendelee na harakati zake.
Nasikia Dr Ulimboka alikuwa Jolly alipofikwa na maafa haya ni kweli?
Awali ya yote yatupasa kumpa pole na kumuombea apone haraka dakatari wetu huyu bwana Ulimboka na walaaniwe kwa nguvu zote wale wote waliohusika kwa namna moja ama nyingine.
Wengi wetu kwa asilimia kubwa tumekuwa na imani kuwa, utekelezaji wa jambo hilo ni njama au mkakati wa serikali kupunguza kasi ya harakati za madaktari katika kudai haki zao.
Tunapoihusisha moja kwa moja serikali kwa upande mmoja wa mbele, hebu tugeuke nyuma na kuangalia upande wa pili.
Bila shaka Dk Ulimboka alikuwa na maadui wa hatari wenye chuki binafsi naye hasa kipindi cha vugu vugu hili la migomo ya madaktari. Kuna watu waliopoteza madaraka yao matamu kutokana na kadhia hii, upo uwezekano wa kupanga njama za kulipiza kisasi.
Kutumika polisi si kitu mbele ya pesa. Ukiwa na fungu la kutosha ukitaka kuwatumia polisi njaa kwa ajili ya uhalifu unawatumia bila shida. Ikiwa wapo ambao hufanya ujambazi na kupora mali za watu, itakuwa hawa wa kukodiwa! Tugawanye fikra na mitazamo yetu, wakati tunaitupia jicho la mashaka serikali.
Tuangalie na upande wa pili, wale waliomwaga unga kutokana na harakati hizi tunawachukuliaje? Hapa mhalifu halisi anaweza kujificha chini ya kivuli cha serikali.
Mwisho napenda niwapongeza madaktari wote waliotoa kichapo kwa mtu anayedhaniwa kuwa alikuwa mmoja wa wateka nyara.
Mungu msaidie Dk Ulimboka apone haraka ili aendelee na harakati zake.
Kuna nini nyuma ya pazia? Mbona hajawahi kwenda kuwaona wagonjwa wanaotaabika bila matibabu kwa sababu ya mgomo wa madakitari, toka hii migomo iaanze?.Wanajamvi
Nimesikia kuwa J Kikwete anategemea kwenda kumuona Dr Ulimboka Mchana huu
Stay tuned
Hata wewe unatumia kodi zetu kuleta ***** kwenye maswala ya msingi. Kama wewe ulikimbilia kusoma HKL acha wenzio waliosoma wadai haki zao na zako. Na wao pia ni walipa kodiwanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
Nitafurahi sana kama akipopolewa mawe hapo Muhimbili
mh! ati?Mgomo ni mojawapo ya mwisho kabisa kudai haki. Kama wametumia njia za awali zikashindikana, wana haki kugoma. Aidha, kugoma hakumnyimi mtumishi haki ya mshahara, hata akisimamishwa kazi, ataendelea kupokea hadi pale atakapokutwa na hatia ya kumwondolea utumishi.