Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,297
- 183,178
Haya mambo ni Kwa wote tu mkiwa mbali lazima msalitiane lakini kwa mwanaume kumegewa mkeo inauma sana aisee ukijua
Wewe kuchepuka na kimada Je??? haiumi ee???
Haya mambo ni Kwa wote tu mkiwa mbali lazima msalitiane lakini kwa mwanaume kumegewa mkeo inauma sana aisee ukijua
Ila ukikamatwa wanafyeka kitombeo.Afu Wanakuwaga Watamu hao... maana mkishindilia vizuri anakubana hadi unashindwa kupump vizuri dah jinsi anavyonogewa
Ndivyo inavyotakiwa kujipa moyo, maisha yenyewe mafupi stress za kumuwaza mkubwa mwenzio za ninijipe moyo mkuu.
Ni kweli kabisa kuhongewa ipoo ishanitokea
Acha tu mkuu hawa wasichana usiwaamini hata kidogo.nikisimulia ntazidi kumbuka machungu ukiona mwenzio ananyolewa na wewe tia maji zako.Pole. Ilikuaje mkuu?
Olewako ukute umekula iyo kitu mjeda akigunduwa jiandae kutafuta samaki kwenye sakafu au ampe afumuwe rinda hahahaha teh[emoji126] [emoji108] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
true said!!!! mtashinda mnachat wenzenu wanakesha wanasex!!!!!!
Hatakama hizo % ni nyng ila maranyng ni kwelHivi ulisema huu ni utafiti? Tena with 90% possibility!!! Haya masihara mkuu.
Halafu, baada ya kugundua tatizo la huyo victim wako (huyo mdada) ulimsaidia??? Ha ha ha
Wewe akili yako ni ndogo sana, mwanamke yoyote asiyejiheshimu anaweza kuliwa uroda, na dereva wa bodaboda ili apande bure, anaweza kuliwa na muuza uzuri na msafisha kucha, anaweza kuliwa chooni na bosi ofisini, anaweza kuliwa na house boy, anaweza kuliwa kwa offer za bia na nyama choma, anaweza kuliwa kwa ufukara ulionao mwanume, atatowa nyapu kwa vidume wengine ili apate pesa.
Wanaume kamili na wanaojielewa swala la kugongewa huwa hawaliwazi kwa sababu ni upuuzi mtupu, management ya mwili wa mwanamke anayo mwanamke mwenyewe, haijarishi mnaishi wote au distance fulani.
View attachment 364164
Sijui kwanini nimefungua huu uzi aiseeee....[emoji25] [emoji25]
Mkuu...Kwanini mkuu?
Acha tu mkuu hawa wasichana usiwaamini hata kidogo.nikisimulia ntazidi kumbuka machungu ukiona mwenzio ananyolewa na wewe tia maji zako.
Mkuu...
Haya mambo hua magumu sana aiseeee....
Ebu tuyaache
Mmh inauma sanatrue said!!!! mtashinda mnachat wenzenu wanakesha wanasex!!!!!!
Acha tabia hii, kumbuka what goes around comes aroundAfu Wanakuwaga Watamu hao... maana mkishindilia vizuri anakubana hadi unashindwa kupump vizuri dah jinsi anavyonogewa