- Thread starter
- #61
wanaosema wapo wanaojiheshimu hawajui ichi kitu,mwanamke hatafuti jamaa mitaa ya kalibu na nyumba yenu,anatafuta mtu wa mbali kidogo ili kuweza kutunza siri na mtaa unaokaa wasimshtukie,hivyo basi wewe mwanaume hata ukiweka shushu binafsi haambulii umbea wowote,wanakutania mitaa ya mbali wanafanya yao hata mtaani haijifichi,utaishiwa kuambiwa tu SHEMU YUPO SALAMA BUANA