90% ukiishi mbali na mkeo 'utamegewa'

90% ukiishi mbali na mkeo 'utamegewa'

KUNA UKWELI HAPA,

Kuna mke wa mtu halafu anavaa na ana muonekano wa kiheshima sana huwezi amini anagongwa nje na ana watoto wa secondary...

siku hiyo mida ya saa 4 kanialika kupata chai home kwake kumbe mume wake huwa anasafiri...baada ya chai hakuniambia chochote ila nilimsoma tu anataka... ni nilimshika tu t$ako na ziwa huyoooo kalegeaaaa nikamaliza mchezo.

Sasa sikuhiz haipiti week mume wake akisafiri tu huyo ananitumia msg whatsapp za kuniita mahali au hata kwake kbs na anatumia gari la mumewe na kuutwa kupost picha za kumsifia mumewe huko whatsapp na fb.

Jana kanitext "Nawewe umekuaje tena si uje home? " wakati mimi namkwepa mara kwa mara sitaki kula mali ya mtu tena...I hv changed my attitude.

Wake za watu wengi sikuhizi wanatoa nje sana
 
Upo away let say for five year, unategemea nn, mkeo anakula anashiba lazima agegedwe tu, ila hua tunajipaga moyo tu kuwa hawaliwi, lakini ukweli unabaki palepale..
 
KUNA UKWELI HAPA,

Kuna mke wa mtu halafu anavaa na ana muonekano wa kiheshima sana huwezi amini anagongwa nje na ana watoto wa secondary...

siku hiyo mida ya saa 4 kanialika kupata chai home kwake kumbe mume wake huwa anasafiri...baada ya chai hakuniambia chochote ila nilimsoma tu anataka... ni nilimshika tu t$ako na ziwa huyoooo kalegeaaaa nikamaliza mchezo.

Sasa sikuhiz haipiti week mume wake akisafiri tu huyo ananitumia msg whatsapp za kuniita mahali au hata kwake kbs na anatumia gari la mumewe na kuutwa kupost picha za kumsifia mumewe huko whatsapp na fb.

Jana kanitext "Nawewe umekuaje tena si uje home? " wakati mimi namkwepa mara kwa mara sitaki kula mali ya mtu tena...I hv changed my attitude.

Wake za watu wengi sikuhizi wanatoa nje sana

mkuu ni kujipa moyo tu,maana hakuna namna
 
Me mwenyewe niko mbali nae ila najua anamegwa huko ingawa anavunga inocent so na mimi namega kisela

Kazi sana, siku ukienda kupima wewe unao yeye hana, ndio utajua kuwa ulikuwa unafikiri vizuri au vibaya juu ya mahamuzi yako.
 
Hahaaa we jamaa mbona umekuja na utafiti wa mtu mmoja tu sasa?
 
Huu utafiti kwa hisani ya TWAWEZA sponsor by......

mkuu jambazi,mifano iko mingi sana,
kunamwalimu wangu mmoja wa kike wa sec alikua anammewe ni dereva wa ruti za dar to kongo,alikua anapita kila akitoka ruti,lakini mkewe alikua ANABANJULIWA NA MWALIMU MWENZIE,tulikua tunakula chabo sana pale enzi izo,

mkuu mifano ipo mingi sana,
 
Angalia yasijekukuta ya mdau hapa,kwenye mali za watu. IMG-20160707-WA0003.jpg
 
Kweli huo utafiti Mdogo...
1. Case study - Bar moja
Data umekusanya Kwa mtu mmoja; ila ni 90%?!
Jamaa ameidharirisha sana fani ya utafiti scope ya kazi mtu mmoja sample size mtu mmoja hamna statement of the problem hamna literature review na pia hamna recommendation na conclusion data collection imefanyika kwa mtu mmoja halafu Bar na huyo mtu hakumegwa ameongea tu. Tuna kazi sana hii nchi
 
Kama unaweza ishi nae na akatandikwa, itakua ukiishi mbali ndo apone?

Dunia tambara bovu ndg yangu.
 
Back
Top Bottom