Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,520
Dah ila huu ni ukweli ulio wazi japo imekaa kama utani. Ndoa sio kulipa ada za watoto shule na kuleta chakula home wengi tunajisahau af tunakuja kuleta lawama baadae. Ndoa ni muunganiko wa vikojoleoKidogo tu,,tunakula tunashiba nyege zinajaa sasa mnakuwa mbali tufanyeje sms hazitoshio[emoji85][emoji85][emoji85]