90% ukiishi mbali na mkeo 'utamegewa'

90% ukiishi mbali na mkeo 'utamegewa'

Hao Mimi nishakutana nao sana tu, najua wengi wao wana msongo wa mawazo, wengi wanatulizwa na SMS za wapenzi wao, Mimi nikiwakamata ni kujituma hasa, ila nasisitiza kuhrshimu mume wake
 
Lakini inabidi hao waume wanishukuru kwani napunguza uwezekano wa wenza wao kupata mgonjwa kama vidonda vya tumbo na presha
 
Utakufa na presha ukiwa unawaza hivyo, unaacha kuwaza mambo ya maendeleo unakaa kumuwaza mke kuwa anamegwa, kuna shida gani mtu akitoa kitu chake bwana?
 
Mleta mada anaweza akawa na kaukweli flani lakini sio wanawake tu..kwani hao wanaomega wanawake walio mbali na waume zao nikina nani?? Na wewe mleta mada uliyemega mke wa mjeda si mume wa mtu??? Hata wanaume wanaokaa mbali na wake zao wana ni shida...wote wako sawa tu
 
Mleta mada anaweza akawa na kaukweli flani lakini sio wanawake tu..kwani hao wanaomega wanawake walio mbali na waume zao nikina nani?? Na wewe mleta mada uliyemega mke wa mjeda si mume wa mtu??? Hata wanaume wanaokaa mbali na wake zao wana ni shida...wote wako sawa tu
Ngoma droo,,
 
sasa we mtoto wa watu unakaaje naye mbali hivyo mwaka mzima.......hivi hata awe muaminifu kiasi gani hapo itakuwa ni ngumu.........at least ukiwa mbali naye usizidi miezi mitatu .....na isiwe ni jambo la kujirudia ambalo haijulikani mwisho ni lini otherwise........itakuwa ni shida
 
Mmegwaji hata ukiwa unaenda nae kazini au kuishi nae karibu atamegwa tu over
 
Kweli huo utafiti Mdogo...
1. Case study - Bar moja
Data umekusanya Kwa mtu mmoja; ila ni 90%?!
 
Back
Top Bottom