90% ukiishi mbali na mkeo 'utamegewa'

90% ukiishi mbali na mkeo 'utamegewa'

Hakuna mwanamke kamili chini ya jua anaeweza kukaa mwaka bila kufanya ngono, hajazaliwa labda asagwe au ajisage mwenyewe. Mjeda apambane na bunduki watu wapambane na mkewe.

kweli mkuu
 
watu hawajajiuliza hili swala,kwanini huyu mwanamke alikuja sehemu kama ile,kwani mtaani kwake hakuna wanaume?think big
 
nimetolea mfano mke wa mjeda lengo si kukatisha tamaa walinzi wetu wa taifa,hapana ila huu mfano kwa watu wote wanaoishi na wame/wake zao mbali,kama wafanyabiashara,wanaoenda kwenye masomo kwa muda mrefu,wafanyakazi wa kada mbalimbali,n.k,mke wa mjeda ni moja ya mfano hai kwangu,

Daaaah! Umenikumbusha mbali sana mkuu.... kuna mke wa msoja mmoja katoka Dar mpaka mkoani kunifuata asee! Baada yakupata alichotafuta nikamwambia pitaa hiviii mambo yakujakutafutwa na AK 47 kama gaidi haikubaliki....
 
ni kweli mkuu mimi sijaoa ila namega sana wake za watu ambao waume zao wapo mbali yani hadi wanigombania hapa job coz mimi ndio bachela pekee yangu wengine wameoa yani nawafaidi sana halafu hawana gharama
Pole mkuu,ukija kushtuka ili utafute familia
utakuwa umeishachelewa,kibaya zaidi hata uwezo wa kuzalisha
utakuwa umepungua,tutakukuta na vitita vya mbegu za maboga
na matikiti maji(tiba asilia) ili kurejesha nguvu za kiume.
 
Daaaah! Umenikumbusha mbali sana mkuu.... kuna mke wa msoja mmoja katoka Dar mpaka mkoani kunifuata asee! Baada yakupata alichotafuta nikamwambia pitaa hiviii mambo yakujakutafutwa na AK 47 kama gaidi haikubaliki....

Hahaaaaaa,uliona mbali mkuu,
 
ni kweli mkuu mimi sijaoa ila namega sana wake za watu ambao waume zao wapo mbali yani hadi wanigombania hapa job coz mimi ndio bachela pekee yangu wengine wameoa yani nawafaidi sana halafu hawana gharama

Mbona mim wananipa gharama mkuu
 
Hao Mimi nishakutana nao sana tu, najua wengi wao wana msongo wa mawazo, wengi wanatulizwa na SMS za wapenzi wao, Mimi nikiwakamata ni kujituma hasa, ila nasisitiza kuhrshimu mume wake




Your days are numbered iko siku utatuletea mrejesho humu kuwa tayari umeshafumuliwa [emoji102]
 
Utakufa na presha ukiwa unawaza hivyo, unaacha kuwaza mambo ya maendeleo unakaa kumuwaza mke kuwa anamegwa, kuna shida gani mtu akitoa kitu chake bwana?




Ulibemendwa utotoni wewe[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Olewako ukute umekula iyo kitu mjeda akigunduwa jiandae kutafuta samaki kwenye sakafu au ampe afumuwe rinda hahahaha teh[emoji126] [emoji108] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
unaenjoy kufumuliwa marinda?
 
Hahaaaaaa,uliona mbali mkuu,

Tatizo ni kwamba hata ukimkumbusha we ni mke wa mtu yaani hakuelewi. Hapo lazima ufungue jicho la tatu nakumwona mjeda ndo anajiandaa kuja kukabiliana nawewe,sio vitani tena bali kukabiliana na raia mwema...
 
Wee nae huna hata siri Khah!! Afu ukute wewe ndoumemega kisela
 
Back
Top Bottom