Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
Ni kweli mkuu japo hukuipanga mada yako vzr habari ndio hiyo.
Umewahi kufikia conclusion mkuu, sample mtu mmoja?!
Nchi hii inazidi kuwa maskini kwa kuwa na raia wengi wenye poor mind kama huyu.Habarini wakuu,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya asilimia kubwa wanaoishi mbali na wake/waume zao ndoa zao haziko salama,Unaweza jipa moyo kua sio wote,lakini ukumbuke haya mambo yanaendeshwa kwa siri sana hasa kwa upande wa wake za watu.Changamoto inayowakumba ni kutofanya mapenzi kwa mda mrefu,kinachofuata wanajua wenyewe.
Jumamosi iliyopita nilikutana na mdada moja kwenye bendi moja maarufu hapa mjini,ni mdada anaejiheshimu,kimazingira alionekana ni mgeni wa maeneo ya kujirusha,nilikaa nae meza moja alionekana anamawazo na hofu.
Ndipo kumuuliza, akaniambia anajutia kwa alichokifanya leo,ametoroka nyumbani bila kumtaarifu house girl, anakatoto kamoja, ila ndo hivyo upweke umemshinda,mmewe ni mjeda, yupo kikosi flani ni mkoa wa mbali siwezi taja, akaniambia hua anarudi home kwa mwaka mara moja,ni kajua tatizo lake ni nini linalomsumbua,
Wakuu kama unapiga kazi mahala fanya hima uhame na mkeo,maana unaweza kuta unalea watoto wa wenzio.
Wewe akili yako ni ndogo sana, mwanamke yoyote asiyejiheshimu anaweza kuliwa uroda, na dereva wa bodaboda ili apande bure, anaweza kuliwa na muuza uzuri na msafisha kucha, anaweza kuliwa chooni na bosi ofisini, anaweza kuliwa na house boy, anaweza kuliwa kwa offer za bia na nyama choma, anaweza kuliwa kwa ufukara ulionao mwanume, atatowa nyapu kwa vidume wengine ili apate pesa.uo ni mfano mmoja mkuu,mifano ninayo mingi ningeiandka yote thread ingeboa,iyo ni sample
Eti eeeeh!!! isikie kwa jirani.Utakufa na presha ukiwa unawaza hivyo, unaacha kuwaza mambo ya maendeleo unakaa kumuwaza mke kuwa anamegwa, kuna shida gani mtu akitoa kitu chake bwana?
Habarini wakuu,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya asilimia kubwa wanaoishi mbali na wake/waume zao ndoa zao haziko salama,Unaweza jipa moyo kua sio wote,lakini ukumbuke haya mambo yanaendeshwa kwa siri sana hasa kwa upande wa wake za watu.Changamoto inayowakumba ni kutofanya mapenzi kwa mda mrefu,kinachofuata wanajua wenyewe.
Jumamosi iliyopita nilikutana na mdada moja kwenye bendi moja maarufu hapa mjini,ni mdada anaejiheshimu,kimazingira alionekana ni mgeni wa maeneo ya kujirusha,nilikaa nae meza moja alionekana anamawazo na hofu.
Ndipo kumuuliza, akaniambia anajutia kwa alichokifanya leo,ametoroka nyumbani bila kumtaarifu house girl, anakatoto kamoja, ila ndo hivyo upweke umemshinda,mmewe ni mjeda, yupo kikosi flani ni mkoa wa mbali siwezi taja, akaniambia hua anarudi home kwa mwaka mara moja,ni kajua tatizo lake ni nini linalomsumbua,
Wakuu kama unapiga kazi mahala fanya hima uhame na mkeo,maana unaweza kuta unalea watoto wa wenzio.
Ipo siku yako na weweni kweli mkuu mimi sijaoa ila namega sana wake za watu ambao waume zao wapo mbali yani hadi wanigombania hapa job coz mimi ndio bachela pekee yangu wengine wameoa yani nawafaidi sana halafu hawana gharama
Afande kamata mmoja wa demomimindioyule mjeda mnayesema humu, kumbe ndicho wife anakifanya akibaki huku wkati mi najitoa mhanga kwa yafifa akiwemo yeye eh....nishajua ukweli narudi
hhhhhahaaahhahhhaaa!!!Cha pekeako kaburi tu!
Hapo ngoma iko very simple, akigongewa na yeye agonge. huu mchezo bana hautaki hasiraHabarini wakuu,
Kwa utafiti mdogo nilioufanya asilimia kubwa wanaoishi mbali na wake/waume zao ndoa zao haziko salama,Unaweza jipa moyo kua sio wote,lakini ukumbuke haya mambo yanaendeshwa kwa siri sana hasa kwa upande wa wake za watu.Changamoto inayowakumba ni kutofanya mapenzi kwa mda mrefu,kinachofuata wanajua wenyewe.
Jumamosi iliyopita nilikutana na mdada moja kwenye bendi moja maarufu hapa mjini,ni mdada anaejiheshimu,kimazingira alionekana ni mgeni wa maeneo ya kujirusha,nilikaa nae meza moja alionekana anamawazo na hofu.
Ndipo kumuuliza, akaniambia anajutia kwa alichokifanya leo,ametoroka nyumbani bila kumtaarifu house girl, anakatoto kamoja, ila ndo hivyo upweke umemshinda,mmewe ni mjeda, yupo kikosi flani ni mkoa wa mbali siwezi taja, akaniambia hua anarudi home kwa mwaka mara moja,ni kajua tatizo lake ni nini linalomsumbua,
Wakuu kama unapiga kazi mahala fanya hima uhame na mkeo,maana unaweza kuta unalea watoto wa wenzio.
Enhe ilikuwaje mkuuNi kweli kabisa kuhongewa ipoo ishanitokea