24 series na prison break ipi kali?

Sidhani kama iliendelea baada ya season 10.

Ila Bauer kaigiza series nyingine kama Rais wa Marekani, nimeona wanaitangaza juzi kati.

Inaonekana tamu sana, ngoja nikumbuke jina lake niilete hapa.
Designated suviours
 
Nampenda kaka yake Carter yule Isaac Carter ana lafudhi flan hiv kama mtoto wa kihun wa pake Seattle
 
Ni ile hali ya watu kutengeneza ugonjwa ambao utaua watu kwa kasi kupunguza population ila kwa maslahi yao binafsi sasa serikali baada ya kugundua hilo tatizo wakamtafuta the best doctor afanye research ili aweze kupata dawa, doctor akawekwa kwenye meli ya kivita pasipo captain na Crüe yake kujua chochote, baada ya kuanza kupata misukosuko kutafutwa kwa doctor mara meli kutaka kutekwa ikabidi captain ambane doctor ili ajue ukweli hapo ndipo movie inapoanza
Sasa lazma uielewe mkuu kaitafute
US marshal anataja namba yake captain Tom Chandler. Hiii imefanana Sana na last resort kama uliwahi itazama ila ikawa canceled.
 
Eti kwa kuwa yote ni michezo (series) haikupi sababu ya kulinganisha soka(drama) na kikapu(action) ..
 
Series ya 24 iko poa sana. Hii ni kwasababu kila season inakuwa na stori yake independent japokuwa kuna mwendelezo flani wa wahusika na matukio. Na kinachovutia zaidi ni kwamba maadui sometimes wanakuwa ni wahusika wenyewe wanaoshughulika na kuzuia ugaidi! (So you never know who to trust).
Kwa upande wa prison break niliipenda sana season 1 na season 2 kidogo, baada ya hapo wakawa wanaungaunga tu stori ili waendelee kupiga hela.
 
Sidhani kama iliendelea baada ya season 10.

Ila Bauer kaigiza series nyingine kama Rais wa Marekani, nimeona wanaitangaza juzi kati.

Inaonekana tamu sana, ngoja nikumbuke jina lake niilete hapa.
Designated survivor
 
Nina mzigo wote wa 24 from season 1 hadi season 9 live another day.

Na kwa sasa naendelea na Eric Carter katika 24 legacy season 1.
24 nimeangalia na kurudia season kuanzia ya kwanza hadi 9 zaidi ya Mara kumi. Yaani najua kabisa hapa mbele Jack atafanya hivi lakini still natazama. Remember more than ten times.
Hali hii inanikumba kwenye movie tu ambapo movie nazorudia Mara kwa Mara hata idadi sikumbuki ni "Troy" na "My name is Khan"



To make it short ingawa nilianza kutazama prison break kabla ya 24, lakini kwangu mm 24 ni bad news na imeniathiri Sana kwani kila nikipata new series nawaza if itakua kali kuliko 24.
Nawaomba tuiheshimu 24 tuipumzishe maana sijawahi kuona other series zikipambanishwa na zingine isipokua 24, so unaweza kuona why.
Uko wapi mkuu?naihitaji hiyo 24
 
24 ni hatarii......nampenda jack anasimamia anachokiamini hata ikibidi kukiuka amri ya rais........kuna sehemu anahojiwa na maseneta nilicheka sana majibu yake.........."who is ibrahimu hadaad"?
Jack....." That information is classified......" Jack mwehu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom