Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Mkuu ukiondoa hisia, hasira na chuki kwa huyo jack hiyo 24 ni bonge la series aiseeh jamaa amefit hapo,24 ni ypuuzi....et kila episode jak bawa anaonekana ndo kaokoa jahazi
Mkuu ukiondoa hisia, hasira na chuki kwa huyo jack hiyo 24 ni bonge la series aiseeh jamaa amefit hapo,24 ni ypuuzi....et kila episode jak bawa anaonekana ndo kaokoa jahazi
Aiseeh umenipa raha sana acha nijipumzishe kidogoNina mzigo wote wa 24 from season 1 hadi season 9 live another day.
Na kwa sasa naendelea na Eric Carter katika 24 legacy season 1.
24 nimeangalia na kurudia season kuanzia ya kwanza hadi 9 zaidi ya Mara kumi. Yaani najua kabisa hapa mbele Jack atafanya hivi lakini still natazama. Remember more than ten times.
Hali hii inanikumba kwenye movie tu ambapo movie nazorudia Mara kwa Mara hata idadi sikumbuki ni "Troy" na "My name is Khan"
To make it short ingawa nilianza kutazama prison break kabla ya 24, lakini kwangu mm 24 ni bad news na imeniathiri Sana kwani kila nikipata new series nawaza if itakua kali kuliko 24.
Nawaomba tuiheshimu 24 tuipumzishe maana sijawahi kuona other series zikipambanishwa na zingine isipokua 24, so unaweza kuona why.
ngoja niunge bando Leo usiku niitafute pengine naweza kuwa nakosa utamuNaiangalia hapa ina ma conspiracy hatari sana niko season 12 movie hii ni hatari....!!
Nikuchagulie season katika 24 urudie?Aiseeh umenipa raha sana acha nijipumzishe kidogo
Embu chagua japo nipo hapa naangalia redemption yake jack alipokimbilia AfricaNikuchagulie season katika 24 urudie?
Okey. Kwakua unaangalia redemption basi imalizie. Then Kama utaweza rudia season 5 ambapo jack yupo in hiding living under fake identity halafu anaona news president wake kipenzi kawa shot dead.Embu chagua japo nipo hapa naangalia redemption yake jack alipokimbilia Africa
Hivi 24 legacy unaionajeEmbu chagua japo nipo hapa naangalia redemption yake jack alipokimbilia Africa
Hiyo sijaiangalia mkuu napata fununu tuu kutoka kwa wadau nataka nikalie kitako niithaminishe mwenyewe, ama kuna lolote waweza nidokeza kwa mbali?Hivi 24 legacy unaionaje
Uko wapiNitapata wapi hiyo 24 kuanzia mwanzo hadi mwisho kwenye FLUSH
Ukiipata hakikisha umekula kwanza na hujatenga nyama jikoni usije gombana na mtu bure... Yaani kifupi saivi niko dilemma je Jack na Eric Carter nani zaidi. Imagine hata mm Pro-Jack naanza pata maswali hayo.Hiyo sijaiangalia mkuu napata fununu tuu kutoka kwa wadau nataka nikalie kitako niithaminishe mwenyewe, ama kuna lolote waweza nidokeza kwa mbali?

humu ndani watu hawajui series ndo nlichokiona kuna vitu vikali vipo sokoni ni laana nyie mnabaki na 24 na prison break leo? hiyo kitu viking achaa kabisa na kuna ile game of throne ni hatari tupuTenga muda angalia kwa makini sana kitu kinaitwa The Vikings ni balaa humo mzee wa kazi king's Ragnar na mzee wa kafala Frock y
Wacha nitoke nikaitafute mkuu maana umenihamasisha vilivyoUkiipata hakikisha umekula kwanza na hujatenga nyama jikoni usije gombana na mtu bure... Yaani kifupi saivi niko dilemma je Jack na Eric Carter nani zaidi. Imagine hata mm Pro-Jack naanza pata maswali hayo.
Now ipo episode ya 6.
Narudia tena usiitazame huku umeweka kitu jikoni![]()



`We got "24 LEGACY" now
Hebu tulia mkuu...ukitaka kujua tunafatilia series nenda kwenye uzi special for series...humu ndani watu hawajui series ndo nlichokiona kuna vitu vikali vipo sokoni ni laana nyie mnabaki na 24 na prison break leo? hiyo kitu viking achaa kabisa na kuna ile game of throne ni hatari tupu