24 series na prison break ipi kali?

24 series na prison break ipi kali?

24 ni hatarii......nampenda jack anasimamia anachokiamini hata ikibidi kukiuka amri ya rais........kuna sehemu anahojiwa na maseneta nilicheka sana majibu yake.........."who is ibrahimu hadaad"?
Jack....." That information is classified......" Jack mwehu
Mi nilifurahi pale alipokiri kuwa amemtesa Ibrahim Haddaad kwa mujibu wa mikataba ya UN. Lakini akakanusha kutesa kwa mujibu wa majukumu ya kazi yake
 
kuna kipindi nimekaa tokea saa kumi na moja jioni mpaka kesho yake saa kumi na mbili jioni naangalia 24 season 5.. asee huu mzigo ni bad news sijawahi ona. mpaka leo naweza kuirudia hata mara kumi
 
24!! movie pekee ambayo haina ujinga wa kuweka matukio kwenye slowmo,, movie ambayo kuna wakati mpambano wa ngumi na gaidi unamuelemea star mpaka inambidi amng'ate meno gaidi ili ajiokoe. 24 haitaja tokea tena
 
24!! movie pekee ambayo haina ujinga wa kuweka matukio kwenye slowmo,, movie ambayo kuna wakati mpambano wa ngumi na gaidi unamuelemea star mpaka inambidi amng'ate meno gaidi ili ajiokoe. 24 haitaja tokea tena
angalia na prison break kwanza halafu uje kulinganisha mkuu..!!...
 
24 series imeanza kukaa vizuri kiaina hatujui nini kitatokea baada ya Beca kufariki ila prison break ndio imeingia kwa mkwara mkubwa mara scoffield ndani mara gaidi yule Yemen anaonekana mwanae,Huku T-bag katengenezewa mkono...
Na vote kwa PRISON BREAK IMEKUJA VIZURI ZAIDI
 
Designed survivor inaonekana itakimbiza series zote
 
Jaman mwenye kumbukumbu ya prison break season 4 kuna gar ambayo team michael walikua wanalitumia,,nadhan ni toyota ile lakin nmeshindwa kujua ni toyota aina gan,,lile jeusi lile nataka sana kujua aina gan ya toyota
 
24!! movie pekee ambayo haina ujinga wa kuweka matukio kwenye slowmo,, movie ambayo kuna wakati mpambano wa ngumi na gaidi unamuelemea star mpaka inambidi amng'ate meno gaidi ili ajiokoe. 24 haitaja tokea tena
24 haina ujinga wa slowmo wala flashback....hamnaga habari ya mtu kukumbuka matukio ya nyuma mule.........
 
83b77c8588da9c302c833f18c15a4eca.jpg

Naweza sema hivi "BILA T.BAG PRISON BREAK SI KITU" 100%
Yaah jamaa ametsha sana
 
24 ni habari nyingine. ...hii series ilinifanya nishindwe kuangalia series nyingine kabisa..nilikuwa naona hazina viwango kabisa. baada ya kuushawishi sana moyo wangu na ndio nikamanage kuangalia nikita, homelanda, scandal na revenge...hata hivyo hakuna hata moja niliyofanikiwa kuimaliza kati ya hizo. ila kwa upande wa action series 24 haina mpinzani hadi sasa...
ktk series za drama desperate housewives imefanikiwa kuuteka moyo wangu
 
24 ni habari nyingine. ...hii series ilinifanya nishindwe kuangalia series nyingine kabisa..nilikuwa naona hazina viwango kabisa. baada ya kuushawishi sana moyo wangu na ndio nikamanage kuangalia nikita, homelanda, scandal na revenge...hata hivyo hakuna hata moja niliyofanikiwa kuimaliza kati ya hizo. ila kwa upande wa action series 24 haina mpinzani hadi sasa...
ktk series za drama desperate housewives imefanikiwa kuuteka moyo wangu
Upo vizuri mkuu,sina chakuongezea hapo japo sijajua mpaka sasa wadau wanatumia vigezo gani kulinganisha hizo series mbili,ila mbali ya vyote 24 is the best series ever.
 
24 nikiwahi kusema huko mwanzo kwenye uzi huu kwamba kwa karne ya 19-21 hakuna series itakayoifikia 24 ya Jack,,hakuna na itachukua miongo mingi kutokea tena,,,prison break ni kali,kali sana,story nzur na inaeleweka sna na kuvutia kuitazama bt kuna kitu ukiwngalia kwa makin kina miss,,,
 
Back
Top Bottom