babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,949
- 6,752
Mi nilifurahi pale alipokiri kuwa amemtesa Ibrahim Haddaad kwa mujibu wa mikataba ya UN. Lakini akakanusha kutesa kwa mujibu wa majukumu ya kazi yake24 ni hatarii......nampenda jack anasimamia anachokiamini hata ikibidi kukiuka amri ya rais........kuna sehemu anahojiwa na maseneta nilicheka sana majibu yake.........."who is ibrahimu hadaad"?
Jack....." That information is classified......" Jack mwehu
