24 series na prison break ipi kali?

24 series na prison break ipi kali?

24:legacy nayo wameifanya imenoga aise ni balaa kesho epsode 8 huchok unasubir kwa hamu yani jamaa ni noma hawa
 
Prison break niliielewa season 1na 2..ni best kwa kwel..ila kuanzia season 3 hapo naona figisu nyingiii mpk ladha inapotea ya muvi....24 level nyingine,ile ni shida aisee hasa kwenye mpangilio wa matukio,ni shida ile series...imefikia hatua series nnazoziangalia km hazifanan fanan na 24,hta mda wa kuziangalia sina kbsa...24 imeniharibu...ile SERIES ni shida
Nakubariana Na wewe! Sasa Kama hujatizama IRISS ya Kikorea emu nenda kaitizame mkuu! Ina Season 1&2 Tu ila Ni shida! Sometimes unatamani uingie kwenye Screen ukasaidie, Ni umafia wa kutisha unaoakisi really life Kati ya North&South Korea.

Upelelezi, Action, Mapenzi vyote ndani!
 
Nakubariana Na wewe! Sasa Kama hujatizama IRISS ya Kikorea emu nenda kaitizame mkuu! Ina Season 1&2 Tu ila Ni shida! Sometimes unatamani uingie kwenye Screen ukasaidie, Ni umafia wa kutisha unaoakisi really life Kati ya North&South Korea.

Upelelezi, Action, Mapenzi vyote ndani!
Ngoja niitafute mkuu
 
Nakubariana Na wewe! Sasa Kama hujatizama IRISS ya Kikorea emu nenda kaitizame mkuu! Ina Season 1&2 Tu ila Ni shida! Sometimes unatamani uingie kwenye Screen ukasaidie, Ni umafia wa kutisha unaoakisi really life Kati ya North&South Korea.

Upelelezi, Action, Mapenzi vyote ndani!
Tatizo lao hawa ni lugha yao,,,mi kuangalia huku nasoma chini cwez kwa kwel
 
Tatizo lao hawa ni lugha yao,,,mi kuangalia huku nasoma chini cwez kwa kwel
Mkuu Kuna watu wanatizama Movie za Kizungu huku haelewi Kiingereza hata robo, watu wanatizama Movie za Kihindi Na wote hawa wanaweza kukuhadithia hizo Movie Na ukaelewa!

Binafsi napenda Movie yenye Subtitles, labda Kama wewe Ni mvivu wa kusoma!

Mimi napotizama Movie ukiacha mtiririko wa Movie, naangalia/Kusikiliza Dialogue, Camera angle, shots, fades, Location Na Subtitles Na vyote natizama kujifunza huku naburudika!
 
Mkuu Kuna watu wanatizama Movie za Kizungu huku haelewi Kiingereza hata robo, watu wanatizama Movie za Kihindi Na wote hawa wanaweza kukuhadithia hizo Movie Na ukaelewa!

Binafsi napenda Movie yenye Subtitles, labda Kama wewe Ni mvivu wa kusoma!

Mimi napotizama Movie ukiacha mtiririko wa Movie, naangalia/Kusikiliza Dialogue, Camera angle, shots, fades, Location Na Subtitles Na vyote natizama kujifunza huku naburudika!
Sijazoea kwa kwel,,,kama neno ctalisikia vzr nitarud sekunde kumi nyuma,,thts y hata napodownloud movie zangu sipend kuweka subtitle kabsa
 
Last ship inahusu n?
Ni ile hali ya watu kutengeneza ugonjwa ambao utaua watu kwa kasi kupunguza population ila kwa maslahi yao binafsi sasa serikali baada ya kugundua hilo tatizo wakamtafuta the best doctor afanye research ili aweze kupata dawa, doctor akawekwa kwenye meli ya kivita pasipo captain na Crüe yake kujua chochote, baada ya kuanza kupata misukosuko kutafutwa kwa doctor mara meli kutaka kutekwa ikabidi captain ambane doctor ili ajue ukweli hapo ndipo movie inapoanza
Sasa lazma uielewe mkuu kaitafute
 
Nakubariana Na wewe! Sasa Kama hujatizama IRISS ya Kikorea emu nenda kaitizame mkuu! Ina Season 1&2 Tu ila Ni shida! Sometimes unatamani uingie kwenye Screen ukasaidie, Ni umafia wa kutisha unaoakisi really life Kati ya North&South Korea.

Upelelezi, Action, Mapenzi vyote ndani!
IRIS nimeangalia but tatizo lao wamefanya kosa namna ya kuhusisha mapenzi na visa halisi. Haiwezi fikia level za 24. Pia wana fiction ambazo in real life unaona ni uwongo
 
Kwenye 24,Jack alichemka sehemu moja tuu. Pale walipoletewa taarifa za kuvamiwa WH,alitulia kimya bila kuonesha mshtuko wowote. Sikupapenda.

Sehemu nyingine walitupiga changa la macho,ni general Juma kucheza nafasi mbili tofauti. Mwanzo kama mwanasheria na pili kama muasi
 
PC yangu huwa nafuta sana files, lakini sijawahi kufuta file la 24 kuanzia season 1 hadi ya 9. Ile series imenifanya niuchukiee uzee. Najua miongoni mwa sababu zilizopelekea kutoendelea pengine umri wa characters. Jack, Cloe sasa hivi umri umeenda sana nahisi hasa jack. Nilipomaliza ile series sijawahi kufuatilia series nyengine yeyote nikaimaliza hadi mwisho, lakini ile hata kesho naweza kuirudia season yeyote ile nitakayoipenda. Nafikiri inakaribia na ukweli, lakini pia nafikiri ilikuwa ni mpango wa kuteka fikra za wanadamu juu ya masuala ya ugaidi. Jack amepandikiza roho ya chuki baina ya wamarekani na waarabu, amewafundisha wamarekani kuwa adui wao mkubwa ni mrussia na mchina. Lakini Jack amesaidia kuifanya akili ya mwanadamu kutostaajabu sana na kuhofia sana suala la Ugaidi kawafanya wamarekani walichukulie poa tu. Na kawatengezea hali ya kujiamini kuwa vyombo vya usalama vya taifa lao ni imara na vinashinda katika kila pambano.
 
Kuna io Chicago Justice...ni kweree mnoo, kacheza yule mchizi wa strick bike. .inakuja kasi kwelii kwelii ni kali wakuu
 
Back
Top Bottom