(1) Fundi kujenga - Milioni 2
(2) kupiga plaster- milioni 1
(3)kupauwa mpaka gypsum-1.2m
(4)Tiles- milioni 1
(5)umeme- Laki 5
(6)plumber-Laki 5
(7) Rangi-laki 9
Jumla milioni 7. Hii inaenda kwa mafundi t, sasa twende kwenye vifaa.
(1) matofari -elfu 3×1100= milioni 3.1
(2)nondo 20× 35,000= 700,000/=
(3) ciement mifuko 70×19,000= milioni 1.3
(4)mbao na bati-milioni 5.5
(5)gypsum board-30× 18,000= laki 5.4
(6)rangi(Binder ndo 1, weather guard ndoo 2, silk ndoo 2, Wall putty mifuko 20= milion 1.2
(7)vifaa vya umeme-milion 1.4
(8)Tiles- milion 3
(9) kokoto na mchanga -milioni 1
(10) madirisha ya chuma +mrango wa chuma=milioni 1.2
(11)mlango wa mbao na fremu yake-milion 1.3
(14) kifusi,misumari,bindig wire,mbao za sahani,mbao za linta, maji, gypsum screw,sink za chooni, nyavu za mbu, milango ya chooni ya kioo.
-laki 7.
Jumla Tsh 27, 270, 000/=
Ukiwa na hii uwakika kabisa kasoro aluminium itasubiri