Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,846
- 49,276
Teh teh 😃 😃 😃 akifungwa na huyo itabidi muhame majumbani mwenu...Spain tuna jambo letu🔥🔥🔥🔥🔥
Teh teh 😃 😃 😃 akifungwa na huyo itabidi muhame majumbani mwenu...Spain tuna jambo letu🔥🔥🔥🔥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣Acha kabisa! Hapa siwezi hata kusimama sijui miguu imekufa ganzi.
Haya mamipira yatatuua
Ufaransa tunajipanga kivingineTeh teh 😃 😃 😃 akifungwa na huyo itabidi muhame majumbani mwenu...
IkefweeeKuna watu humu huwa hawaingii kwenye huu uzi ila wakiona tu Argentina imefungwa basi wanajaa humu kibao. Ngoja niwaite wabaya wetu, team roho mbaya waje waone shoo za mungu Messi... Naomba leo afunge goli moja tu
Numbisa huyu ndo certified hater
Espy_
Makiwendo
Shadeeya
Angel Nylon
Depal
Wengine nimewasahau...
View attachment 3629780View attachment 3629781
England ni matapeli, Spain alikutana na France Iliyopo Bora lakini hawakupark bus walipopata goli mojaHebu angalia hii!
This is unforgivable.
Hata Cape Verde walicheza vizuri zaidi ya hivi.
Yaani kuanzia dakika ya 55 England walipofunga goli mpaka dakika ya 92 ambapo Argentina walifunga goli la pili, England walimiliki mpira kwa asilimia 12 tu!
Tactic ya wapi hii? Hata timu za Afrika zilicheza bora zaidi ya hivi.
Mnaacha kabisa kushambulia mnategemea nini? Mbinu ya ajabu kabisa hii.
Na si kwamba England hawakuwa na uwezo wa kushambulia. Wana uwezo mzuri kabisa na huenda hata wangefunga goli la pili kabla ya Argentina kusawazisha.
View attachment 3630232
Ondoka hisia, enjoy soccer. Vinginevyo utakua unajiumiza tu bureKujishobdoa tu hakuna sehemu nilikuquote sasa kusema uache ni sawa na kujbaraguza. Punguza kiherehere mkuu. mbeleko fc hamna tofauti na serikali ya bi chura wameua watu oct 29 na bado wanajisifia wapo madarakani na wanamake another proud history.
💯%.England ni matapeli, Spain alikutana na France Iliyopo Bora lakini hawakupark bus walipopata goli moja
Mashabiki wa Ronaldo wanampenda kwa sababu ana mapaja makubwa... World Cup kimewaramba watu tushavuka huko hatutaki tena mapaja.😂🤣😅 leo mmesahau kumlau Refa mna mlaum Coach, nyie wajukuu wa kikongwe penaldo mna vituko.
Sasa coach kosa lake likowapi, yeye kaongeza mabeki wakacheze na kukaba, kufeli kwao maana yake wana uwezo mdogo, nyie hii World Cup hakuna wa kumzuia Messi 🐐
Kuna yule Scars huwa anaandika essay ndefu za kumponda Messi lakini content zake ni takataka tupu yaani ni full mataputapu..Coach kapewa hela na Raisi wa FIFA😀😀😀
Kitu pekee Ronaldo alichomzidi Messi ni ukubwa wa mapaja..Sidhani kama tutakuja kushuhudia mchezaji kama Messi kwa wakati wetu huu