2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Na kulalamika kua hapewi pasi,
Argentina huwezi kusikia malalamiko kua Messi hapewi pasi coz yeye ndiye anaye wapasia.
Hilo sio tu fungaji ni li Player Maker..kuna kima zile zilikuwa zinabwabwaja😀😀😀
Messi ni Mpira na Mpira ni yeye..

Waliohamia SPAIN wajipange...

Nimefurahi sana mana Misri si alionewa wakatuma vijola Uingereza😀😀😀
 
Kwa faida ya waliolala mapema jana, mchezaji bora wa mechi alikuwa Mbuzi
IMG_0872.jpeg
 
Back
Top Bottom