adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 4,581
- 7,751
Hilo sio tu fungaji ni li Player Maker..kuna kima zile zilikuwa zinabwabwaja😀😀😀Na kulalamika kua hapewi pasi,
Argentina huwezi kusikia malalamiko kua Messi hapewi pasi coz yeye ndiye anaye wapasia.
Messi ni Mpira na Mpira ni yeye..
Waliohamia SPAIN wajipange...
Nimefurahi sana mana Misri si alionewa wakatuma vijola Uingereza😀😀😀