2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Wanakuja kusema eti wafrika hawana akili ya mpira.
Haya England naye amefanya kama Senegal kama Egypt.
Mi huwa nakataa hilo la kwamba akili hatuna. Akili ipo ila kinacho gharimu ni kuridhika haraka.

Na hata hii ya kushikilia bomba huwa si kila mtu anaweza akalishikilia mpaka mwisho.

Miaka hiyo Italy ndo alikuwa bingwa wa kupaki basi na ilifikia hatua akawa amewaambukiza hadi Inter Milan na AC Milan kule Champions League. Yaani walikuwa wakikupakia basi ujue hiyo ni mwanzo mwisho.
 
Mi huwa nakataa hilo la kwamba akili hatuna. Akili ipo ila kinacho gharimu ni kuridhika haraka.

Na hata hii ya kushikilia bomba huwa si kila mtu anaweza akalishikilia mpaka mwisho.

Miaka hiyo Italy ndo alikuwa bingwa wa kupaki basi na ilifikia hatua akawa amewaambukiza hadi Inter Milan na AC Milan kule Champions League. Yaani walikuwa wakikupakia basi ujue hiyo ni mwanzo mwisho.
Imenikumbusha Inter Milan ya 2010 nusu Fainal na Barcelona kama sikosei Mourinho mechi zote mbili alipaki bonge la basi dakika zote na akapita , kwangu Mimi ile ndio basi Bora kuwahi kupakiwa katika ulimwengu wa soka.
 
Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.

Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
 
Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.

Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
Utaangalia kupitia TBC?
 
Imenikumbusha Inter Milan ya 2010 nusu Fainal na Barcelona kama sikosei Mourinho mechi zote mbili alipaki bonge la basi dakika zote na akapita , kwangu Mimi ile ndio basi Bora kuwahi kupakiwa katika ulimwengu wa soka.
Ewaaa! Lile ndo lilikuwa basi mdogo wangu.

Sasa yule Kocha wa England jana ni kama alikuwa anatania yaani watu wamepaki basi lakini nje ya box wapinzani uwezo wa kupiga mashuti walikuwa nao.

Na kile ndo kiliwagharimu. Pole kwao.
 
Okay je kwa shemeji utaondoka lini🤪
Nitafanya maamuzi baada ya Kombe la Dunia kuisha , baada ya kombe la dunia nitapumzika kwa mwezi mmoja nikifkiria ofa zilizokuja mezani kwangu maana nina ofa nyingi nono mezani kama Olise kwa sasa 🙃

1. Nioe kwanza
2. Nikalime Kijijini
3. Nifanye kazi ya kuajiriwa bongo
4. Nikatafute maisha nje ya bongo (Europe, Uarabuni)
 
Mashabiki wa Barcelona tunavyoinjoi yaani hapa ashinde yoyote tu japo natamani Spain abebe
1000061534.jpg
 
Nitafanya maamuzi baada ya Kombe la Dunia kuisha , baada ya kombe la dunia nitapumzika kwa mwezi mmoja nikifkiria ofa zilizokuja mezani kwangu maana nina ofa nyingi nono mezani kama Olise kwa sasa 🙃

1. Nioe kwanza
2. Nikalime Kijijini
3. Nifanye kazi ya kuajiriwa bongo
4. Nikatafute maisha nje ya bongo (Europe, Uarabuni)
Ila Adriz dah 🤣🤣🤣
Umepakua nyama nyingi mwanetu
 
Kujishobdoa tu hakuna sehemu nilikuquote sasa kusema uache ni sawa na kujbaraguza. Punguza kiherehere mkuu. mbeleko fc hamna tofauti na serikali ya bi chura wameua watu oct 29 na bado wanajisifia wapo madarakani na wanamake another proud history.
Kumbe huwa unakunya maboga unazani na mimi nooo.

Ok Mrembo Numbisa ngoja niache kuchat na wewe cuz huna cha_kunambia naona unapiga umbea tu.

Sisi mbeleko fc tupo fainali and we make a another big history and you have nothing to proud off zaidi ya umbea umbea tu.
 
Muhenga nilisema toka zamani... Leonordo da Vinci for reason
Mkuu kila mtu alikua anasema hivo hivo kuhusu Bayern mwaka huu, ila mm niliwabisha hawabebi uefa. Nakuambia hapa hafiki Final. Atabondwa na timu ya kawaida tu. Hua sishabikii kitu kinachopendwa na wengi ever!

Kwa hatua WC iliyofika now nabaki na timu mbili tu. Spain na Argentina naamini hawa wanaweza kufika mbali. Let see.....
 
Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.

Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
Duh!...
 
Back
Top Bottom