Seawhale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 1,842
- 2,389
Huyo mwenye tisheti nyeusi ni Kun?, jana wakati ubao unasoma 1-0 nilimuona jukwaani amekata tamaa.Kwa faida ya waliolala mapema jana, mchezaji bora wa mechi alikuwa MbuziView attachment 3630046
Huyo mwenye tisheti nyeusi ni Kun?, jana wakati ubao unasoma 1-0 nilimuona jukwaani amekata tamaa.Kwa faida ya waliolala mapema jana, mchezaji bora wa mechi alikuwa MbuziView attachment 3630046
Mi huwa nakataa hilo la kwamba akili hatuna. Akili ipo ila kinacho gharimu ni kuridhika haraka.Wanakuja kusema eti wafrika hawana akili ya mpira.
Haya England naye amefanya kama Senegal kama Egypt.
Uzi tunao na Argentina tunatamba nayo Mtani. 😄Kwa faida ya waliolala mapema jana, mchezaji bora wa mechi alikuwa MbuziView attachment 3630046
Imenikumbusha Inter Milan ya 2010 nusu Fainal na Barcelona kama sikosei Mourinho mechi zote mbili alipaki bonge la basi dakika zote na akapita , kwangu Mimi ile ndio basi Bora kuwahi kupakiwa katika ulimwengu wa soka.Mi huwa nakataa hilo la kwamba akili hatuna. Akili ipo ila kinacho gharimu ni kuridhika haraka.
Na hata hii ya kushikilia bomba huwa si kila mtu anaweza akalishikilia mpaka mwisho.
Miaka hiyo Italy ndo alikuwa bingwa wa kupaki basi na ilifikia hatua akawa amewaambukiza hadi Inter Milan na AC Milan kule Champions League. Yaani walikuwa wakikupakia basi ujue hiyo ni mwanzo mwisho.
Utaangalia kupitia TBC?Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.
Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
Ewaaa! Lile ndo lilikuwa basi mdogo wangu.Imenikumbusha Inter Milan ya 2010 nusu Fainal na Barcelona kama sikosei Mourinho mechi zote mbili alipaki bonge la basi dakika zote na akapita , kwangu Mimi ile ndio basi Bora kuwahi kupakiwa katika ulimwengu wa soka.
Hivyo itakuwaje sasa?Sasa ziwezi kuwa Neutral.
Na siwezi kushabikia Argentina.
Hahahaaa. Nimecheka sana Mtani.Tunyooshe mkuu
TBC forever japo Quality ya Tecno Y3 nakomaa hivyo hivyo , mechi za makundi nilikuwa naStream na WiFi ya chuo sasa nimerudi mjini ni TBC tu wasionyesha ndio nitaenda Banda umiza.Utaangalia kupitia TBC?
Okay je kwa shemeji utaondoka lini🤪TBC forever japo Quality ya Tecno Y3 nakomaa hivyo hivyo , mechi za makundi nilikuwa naStream na WiFi ya chuo sasa nimerudi mjini ni TBC tu wasionyesha ndio nitaenda Banda umiza.
Nitafanya maamuzi baada ya Kombe la Dunia kuisha , baada ya kombe la dunia nitapumzika kwa mwezi mmoja nikifkiria ofa zilizokuja mezani kwangu maana nina ofa nyingi nono mezani kama Olise kwa sasa 🙃Okay je kwa shemeji utaondoka lini🤪
Ila Adriz dah 🤣🤣🤣Nitafanya maamuzi baada ya Kombe la Dunia kuisha , baada ya kombe la dunia nitapumzika kwa mwezi mmoja nikifkiria ofa zilizokuja mezani kwangu maana nina ofa nyingi nono mezani kama Olise kwa sasa 🙃
1. Nioe kwanza
2. Nikalime Kijijini
3. Nifanye kazi ya kuajiriwa bongo
4. Nikatafute maisha nje ya bongo (Europe, Uarabuni)
Kumbe huwa unakunya maboga unazani na mimi nooo.
Ok Mrembo Numbisa ngoja niache kuchat na wewe cuz huna cha_kunambia naona unapiga umbea tu.
Sisi mbeleko fc tupo fainali and we make a another big history and you have nothing to proud off zaidi ya umbea umbea tu.
Pole sana Numbisa View attachment 3629973
Teh teh 😃 😃😃 😃Hii mechi ingekuwa ni sisi Ufaransa tungeimaliza kitambo sana
Argentina wanakutana na vibonde
Mkuu kila mtu alikua anasema hivo hivo kuhusu Bayern mwaka huu, ila mm niliwabisha hawabebi uefa. Nakuambia hapa hafiki Final. Atabondwa na timu ya kawaida tu. Hua sishabikii kitu kinachopendwa na wengi ever!
Kwa hatua WC iliyofika now nabaki na timu mbili tu. Spain na Argentina naamini hawa wanaweza kufika mbali. Let see.....
Duh!...Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.
Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
Spain tuna jambo letu🔥🔥🔥🔥🔥Teh teh 😃 😃😃 😃
fainali Argentina atacheza na kibonde mwingine yaani 'Hispania'.,