2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.

Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
 
Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.

Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
Utaangalia kupitia TBC?
 
Imenikumbusha Inter Milan ya 2010 nusu Fainal na Barcelona kama sikosei Mourinho mechi zote mbili alipaki bonge la basi dakika zote na akapita , kwangu Mimi ile ndio basi Bora kuwahi kupakiwa katika ulimwengu wa soka.
Ewaaa! Lile ndo lilikuwa basi mdogo wangu.

Sasa yule Kocha wa England jana ni kama alikuwa anatania yaani watu wamepaki basi lakini nje ya box wapinzani uwezo wa kupiga mashuti walikuwa nao.

Na kile ndo kiliwagharimu. Pole kwao.
 
Okay je kwa shemeji utaondoka lini🤪
Nitafanya maamuzi baada ya Kombe la Dunia kuisha , baada ya kombe la dunia nitapumzika kwa mwezi mmoja nikifkiria ofa zilizokuja mezani kwangu maana nina ofa nyingi nono mezani kama Olise kwa sasa 🙃

1. Nioe kwanza
2. Nikalime Kijijini
3. Nifanye kazi ya kuajiriwa bongo
4. Nikatafute maisha nje ya bongo (Europe, Uarabuni)
 
Mashabiki wa Barcelona tunavyoinjoi yaani hapa ashinde yoyote tu japo natamani Spain abebe
1000061534.jpg
 
Nitafanya maamuzi baada ya Kombe la Dunia kuisha , baada ya kombe la dunia nitapumzika kwa mwezi mmoja nikifkiria ofa zilizokuja mezani kwangu maana nina ofa nyingi nono mezani kama Olise kwa sasa 🙃

1. Nioe kwanza
2. Nikalime Kijijini
3. Nifanye kazi ya kuajiriwa bongo
4. Nikatafute maisha nje ya bongo (Europe, Uarabuni)
Ila Adriz dah 🤣🤣🤣
Umepakua nyama nyingi mwanetu
 
Kujishobdoa tu hakuna sehemu nilikuquote sasa kusema uache ni sawa na kujbaraguza. Punguza kiherehere mkuu. mbeleko fc hamna tofauti na serikali ya bi chura wameua watu oct 29 na bado wanajisifia wapo madarakani na wanamake another proud history.
Kumbe huwa unakunya maboga unazani na mimi nooo.

Ok Mrembo Numbisa ngoja niache kuchat na wewe cuz huna cha_kunambia naona unapiga umbea tu.

Sisi mbeleko fc tupo fainali and we make a another big history and you have nothing to proud off zaidi ya umbea umbea tu.
 
Muhenga nilisema toka zamani... Leonordo da Vinci for reason
Mkuu kila mtu alikua anasema hivo hivo kuhusu Bayern mwaka huu, ila mm niliwabisha hawabebi uefa. Nakuambia hapa hafiki Final. Atabondwa na timu ya kawaida tu. Hua sishabikii kitu kinachopendwa na wengi ever!

Kwa hatua WC iliyofika now nabaki na timu mbili tu. Spain na Argentina naamini hawa wanaweza kufika mbali. Let see.....
 
Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.

Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
Duh!...
 
Hebu angalia hii!

This is unforgivable.

Hata Cape Verde walicheza vizuri zaidi ya hivi.

Yaani kuanzia dakika ya 55 England walipofunga goli mpaka dakika ya 92 ambapo Argentina walifunga goli la pili, England walimiliki mpira kwa asilimia 12 tu!

Tactic ya wapi hii? Hata timu za Afrika zilicheza bora zaidi ya hivi.

Mnaacha kabisa kushambulia mnategemea nini? Mbinu ya ajabu kabisa hii.

Na si kwamba England hawakuwa na uwezo wa kushambulia. Wana uwezo mzuri kabisa na huenda hata wangefunga goli la pili kabla ya Argentina kusawazisha.

IMG_0249.jpeg
 
Back
Top Bottom