adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,786
- 37,804
Fainal ya Kombe la Dunia 2010 ndio ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kushabikia Spain sasa narudisha majeshi Spain , niliishabikia Spain sababu Netherlands alimtoa Brazil ambayo ndio timu yangu Spain akanilipia kisasi.
Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo
Argentina alicheza na Kauzu Fc ya Tandika Mimi nipo Kauzu , popote alipo Argentina Mimi namkataa , natumaini Spain hatoniangusha siku hiyo