2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ukisikia blander ndio hii ya bwana tuchel sasa wee unaingiza mabeki dhidi ya timu kama argentina sii kukaribisha mashambulizi tuu.

If there is one thing hii tournament has taught us is that unapo paki bus lazima dakika za jioniiii ulie tuu. Katika level hii teams are very gud watakuadhibu. Bora utumie nguvu zako kuendelea kushambulia ila sio kulinda goli.

Anyways sasa jpili tuna final ya ukweli ukweli. Hawa argentina hii never die attitude yao kiboko ila spain atapata goli
Argentina labda uwe unaogoza 5-0 ndo labda wanaweza wasiweze kurudisha magoli……na hiyo itategemea na aina ya mchezo unaoucheza.
 
Ukisikia blander ndio hii ya bwana tuchel sasa wee unaingiza mabeki dhidi ya timu kama argentina sii kukaribisha mashambulizi tuu.

If there is one thing hii tournament has taught us is that unapo paki bus lazima dakika za jioniiii ulie tuu. Katika level hii teams are very gud watakuadhibu. Bora utumie nguvu zako kuendelea kushambulia ila sio kulinda goli.

Anyways sasa jpili tuna final ya ukweli ukweli. Hawa argentina hii never die attitude yao kiboko ila spain atapata goli
Amezingua sana huyo mjerumani pori, atakuwa amezaliwa Ujerumani Mashariki huyo
 
coaches kubadili plans inayofanya kazi games za msingi kuweka players wao kunaharibu games siku zote. they never learn. leo rogers kaanza wakati games zote huwa anaingia. Jana France Tchou Kaanza Kone Kaanza Bench Wakati Alikua Poa Games Zote
 
Argentina labda uwe unaogoza 5-0 ndo labda wanaweza wasiweze kurudisha magoli……na hiyo itategemea na aina ya mchezo unaoucheza.
Kama majini jamaa..kuna Sub zinaingia unaona kabisa hawana muda wa kuchezea..Depal alivyoingia ,L.Martinez unaona kabisa Messi anajua huyo jamaa vichwa hakuachi
 
😂🤣😅 leo mmesahau kumlau Refa mna mlaum Coach, nyie wajukuu wa kikongwe penaldo mna vituko.
Sasa coach kosa lake likowapi, yeye kaongeza mabeki wakacheze na kukaba, kufeli kwao maana yake wana uwezo mdogo, nyie hii World Cup hakuna wa kumzuia Messi 🐐
 
Back
Top Bottom