adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 4,581
- 7,751
Coach kapewa hela na Raisi wa FIFA😀😀😀😂🤣😅 leo mmesahau kumlau Refa mna mlaum Coach, nyie wajukuu wa kikongwe penaldo mna vituko.
Sasa coach kosa lake likowapi, yeye kaongeza mabeki wakacheze na kukaba, kufeli kwao maana yake wana uwezo mdogo, nyie hii World Cup hakuna wa kumzuia Messi 🐐