Mpaka watubu mtani😂Uzi tunao na Argentina tunatamba nayo Mtani. 😄
Hivi Mtani hapa ndo mpaka waombe Poo 🤪 au huu ni muendelezo mpaka jumapili ya Fainali ifike? 😂😂
Kuna watu watalia na kusaga meno, watakonda sana kwa roho zao za wivu na ujinga.Amkeni amkeni jamani🔥🔥
🚨NEW: The official Ballon d'Or account just released official confirmation that a player can win the Ballon d'Or while playing for a non-European club.
Kabla yake wamepita nyota wengi sana na baada yake watakuja wengi wazuri..Naisikitikia Argentina baada ya Messi itakuaje.
Ondoka hisia, enjoy soccer. Vinginevyo utakua unajiumiza tu bure
Mkuu, morocco kuondolewa iliniuma sana, ndio the second team kushabikia in the world baada ya ArgentinaAll the best Morocco
Correction:Ila maisha bana 🤣.
Hii siyo AI. Ni picha ya kweli kabisa.
Hapo ni Messi akipiga picha na Lamine Yamal akiwa kama vile anamuogesha.
Nadhani ilikuwa mwaka 2005.
Jumapili wanakutana MetLife stadium kama ma superstar wa timu zao katika fainali za kombe la dunia 2026!
View attachment 3630710
Shukran jazilan 🙏 kwa masahihisho.Correction:
Mkuu, Lamine Yamal kazaliwa 14/7/2007. Hivyo, hawezi kuwa 2005, labda picha ilipigwa 2007 au 2008 mwanzoni.
Ila maisha bana 🤣.
Hii siyo AI. Ni picha ya kweli kabisa.
Hapo ni Messi akipiga picha na Lamine Yamal akiwa kama vile anamuogesha.
Nadhani ilikuwa mwaka 2005.
Jumapili wanakutana MetLife stadium kama ma superstar wa timu zao katika fainali za kombe la dunia 2026!
View attachment 3630710
😂😂😂Mpaka watubu mtani😂
Atamwachia mikoba yote siku hiyo