2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Nyie mnabishana kuhusu timu kupangwa kwenye makundi. Kama mliangalia jinsi ya draw za kupanga timu kwenye hii World Cup 2026 hiyo isingekuwa point of discussion. Ilirushwa LIVE na wakuu wa nchi husika yaani USA, Mexico na Canada wakiwepo. Majina ya nchi yalikuwa yamewekwa kwenye vitufe na vinachanganywa hapo mtu anaingiza mkono anachukua kimoja na kusoma jina la nchi husika.

Nchi zilipangwa kwenye 4 groups kulingana na ranks. To make it short HAKUKUWA na uwezekano wa kuipangia nchi timu dhaifu!!!
Mkuu achana nao vilomolomo hao unajitesa bure.

Wana weweseka wanatafuta sehemu za kuficha aibu zao.
 
Messi completed nine dribbles vs. England, the most any player has completed in a single match this World Cup.

It's also tied for the most he's EVER completed in a World Cup match.

39 years old 😨🙌🐐👑

#Hallelujah!!!
20260716_020758.jpg
 
Shosti pole sana. Halafu sasa sikumbuki kukuquote wewe,yaani unawashwa washwa sana na pia ni kama ulipania kuchat nami aiseeeeeeee hapo ulipo roho kwatu kuchat na numby. Mbeleko fc. Ikikuuma kanye boga
Sio shida kuwa shabiki wa CR7 cuz ni mchezaji mzuri sana kila mtu Duniani anatambua hilo.

Shida ni wewe pusi mnuko kuja kuandika ujinga hapa na kumdharau Messi na Argentina 🇦🇷.
 
Back
Top Bottom