Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,846
- 49,272
Fainali ya 3 hii ya La Pulga ....Argentina kama sisiem kmmk
Noma sana ....
Fainali ya 3 hii ya La Pulga ....Argentina kama sisiem kmmk
Ha wanakua wasumbufu sana hawataki kuibiwaKipindi gani tena?
Muda wa kwenda kwa wahindi huu.
Muongeze uran na ShesRise_1 wakae mbali na spainScars Usije kushabikia Spain utailetea mikosi.
Mashabiki wote wa Portugal wakimbizi kaeni mbali na Spain mtatuletea mikosi
Kumbe huwa unakunya maboga unazani na mimi nooo.Shosti pole sana. Halafu sasa sikumbuki kukuquote wewe,yaani unawashwa washwa sana na pia ni kama ulipania kuchat nami aiseeeeeeee hapo ulipo roho kwatu kuchat na numby. Mbeleko fc. Ikikuuma kanye boga
Umeamkaje mremboJamani
Tuna Mwalimu
Anaitwa Tuchel Thomas
Mwalimu wa mpira huyo, siyo Mwalimu wa mafunzo karate😂😂
🌜🌛☹️Huyo ni maiti tayari. Kufufuka kwake kwa mara ya kwanza ni kwasababu alikutana mnyonge . Safari hii ndo basi tena
Amekuwa Scripted😀😀😀😀Messi anamaliza mashindano kama top scorer na top assister
Tupo na Coach alihongwa na Fifa wame script😀😀Mashabiki wa yule Mbuzi sasa muhame Nyumba mnazo kaa maana timu mmemaliza.
Uwezo mdogo, hata kuforce magoli hawaweziKilo chako kimesikika
Hawana hoja hao ..hawajui Mpira..sasa hivj wanasema Coach kahongwa😀😀😀😀😀Nyie mnabishana kuhusu timu kupangwa kwenye makundi. Kama mliangalia jinsi ya draw za kupanga timu kwenye hii World Cup 2026 hiyo isingekuwa point of discussion. Ilirushwa LIVE na wakuu wa nchi husika yaani USA, Mexico na Canada wakiwepo. Majina ya nchi yalikuwa yamewekwa kwenye vitufe na vinachanganywa hapo mtu anaingiza mkono anachukua kimoja na kusoma jina la nchi husika.
Nchi zilipangwa kwenye 4 groups kulingana na ranks. To make it short HAKUKUWA na uwezekano wa kuipangia nchi timu dhaifu!!!
Mkuu Mbappe bado atacheza mechi ya kumtafuta mshindi wa tatu,Messi anamaliza mashindano kama top scorer na top assister
If you can't beat them, join them. Hàkuna namna nyingine ya kufurahisha nafsi yako.Kuna watu wanafikiri baada ya England kutolewa labda ntakosa team,.nataka niwatoe hofu kwamba kwa sasa nipo Argentina
Tukutane tarehe 19, saa nne usiku
Viva Argentina 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Na kulalamika kua hapewi pasi,Kitu pekee Christiano anamzidi Messi ni urefu na urembo 😂😂