2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Shosti pole sana. Halafu sasa sikumbuki kukuquote wewe,yaani unawashwa washwa sana na pia ni kama ulipania kuchat nami aiseeeeeeee hapo ulipo roho kwatu kuchat na numby. Mbeleko fc. Ikikuuma kanye boga
Kumbe huwa unakunya maboga unazani na mimi nooo.

Ok Mrembo Numbisa ngoja niache kuchat na wewe cuz huna cha_kunambia naona unapiga umbea tu.

Sisi mbeleko fc tupo fainali and we make a another big history and you have nothing to proud off zaidi ya umbea umbea tu.
 
Nyie mnabishana kuhusu timu kupangwa kwenye makundi. Kama mliangalia jinsi ya draw za kupanga timu kwenye hii World Cup 2026 hiyo isingekuwa point of discussion. Ilirushwa LIVE na wakuu wa nchi husika yaani USA, Mexico na Canada wakiwepo. Majina ya nchi yalikuwa yamewekwa kwenye vitufe na vinachanganywa hapo mtu anaingiza mkono anachukua kimoja na kusoma jina la nchi husika.

Nchi zilipangwa kwenye 4 groups kulingana na ranks. To make it short HAKUKUWA na uwezekano wa kuipangia nchi timu dhaifu!!!
Hawana hoja hao ..hawajui Mpira..sasa hivj wanasema Coach kahongwa😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom