Hahahaaa. LolMlijificha kumbe
Pole sana🤣🤣🤣Wachawi hawa
Tulia tulia utaokota mpira sasa kakutane na France unaambiwa wachezaji wamezichapa na kocha waoWachawi hao
Wametuumiza sanaStratus England ni mbovu sana!
Huwezi kushinda mechi kwa kujihami tu.
Especially kama washambuliaji ni wazuri, lazima watafunga tu.
Sijui ni akili gani tu ambayo hutumika kuamua kucheza mchezo wa kujilinda tu.
England wanatolewa.