Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 52,691
- 130,519
Ndio ni favor kwani uongo?So leo kuliwa na favor kwa Olise?(Natumia mtizamo wako)
Nimekuuliza Argentina alicheza na Uholanzi 2026,maana picha ya tatu ni beki ya Uholanzi Ake na hapo ilikuwa kwenye boksi la Uholanzi bila shaka, sasa wewe ulitakaje kwenye hiyo picha refa afanyaje.
Sehemu ya kadi na kadi haitolewi, tafsiri yake ni nini?
Kwamba sio kadi?
Mimi naweza kusema hivyo na nilisema hata Ronaldo alipopewa MOTM nilipinga.
Wewe huwezi kufanya hivyo kwa Messi kwasababu tayari yule kwako ni Mungu.