2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Scars naona unazidi kupata makovu ya moyo, roho na mwili. Mtoto mdogo huwez izuia Argentina na Messi 🐐 kubeba World cup.
Haya hamieni kwa mrembo mwenzenu Lamine, Fainali tunamaliza game 1st half hatutaki masihara.
A. Gordon 55'
Vs
E. Fernández 85'
L. Martínez 90+2'
Messi 🐐 above all
 
Acha kabisa! Hapa siwezi hata kusimama sijui miguu imekufa ganzi.
Haya mamipira yatatuua
Hahahaaa.

Ulitaka England washinde?

Ilaumu strategy yao maana baada ya kufunga goli wote wakarudi nyuma na kuanza kujilinda tu.

Kumbuka: best defense is a good offense.

England walitakiwa waongeze mashambulizi baada ya kufunga goli lao.

Unapoongeza mashambulizi unakuwa unapunguza fursa za mpinzani wako kufanya mashambulizi kwako.

England hawana wa kumlaumu zaidi ya wao wenyewe.
 
20260707_151709.jpg
 
Ukisikia blander ndio hii ya bwana tuchel sasa wee unaingiza mabeki dhidi ya timu kama argentina sii kukaribisha mashambulizi tuu.

If there is one thing hii tournament has taught us is that unapo paki bus lazima dakika za jioniiii ulie tuu. Katika level hii teams are very gud watakuadhibu. Bora utumie nguvu zako kuendelea kushambulia ila sio kulinda goli.

Anyways sasa jpili tuna final ya ukweli ukweli. Hawa argentina hii never die attitude yao kiboko ila spain atapata goli
 
Back
Top Bottom