TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 6,710
- 20,706
SanaDuh!! Hawa Argentina hatari sana
SanaDuh!! Hawa Argentina hatari sana
Wachezaji wa England wapumbavu sana.Eti sasa hivi England ndo wanashambulia 🤣🤣
Sahihi kabisaFootball sometimes its a hurting game
Hizi ndio habari ninazopenda kusikia kwasasaMkoloni na koloni lake la zamani wanakutana ,I bet Argentina wanabeba ndoo
Messi anabeba tenaWachezaji wa England wapumbavu sana.
Yamejazana nyuma yote,hakuna kitu yanafanya
Pumbavu sana
Wamshukuru sana Huyu Golikipa maana bila yeye wangekunywa goli nyingi sana.
Tukutane final
Team Spain🔥
Umejipa Kaz ngumu sanaWachezaji wa England wapumbavu sana.
Yamejazana nyuma yote,hakuna kitu yanafanya
Pumbavu sana
Wamshukuru sana Huyu Golikipa maana bila yeye wangekunywa goli nyingi sana.
Tukutane final
Team Spain🔥
Pole japo hizi ndio habari ninazopenda kusikia kwasasaAcha kabisa! Hapa siwezi hata kusimama sijui miguu imekufa ganzi.
Haya mamipira yatatuua