Morocco forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,121
- 6,879
Mtahama sana team πππ haya kesho mtashabikia wazungu weusi wengine sio??? Mlimfunga morocco mkajua mmemaliza kazi πππ
Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?
View attachment 3629443
View attachment 3629444
Hiyo picha sijaiweka kwa bahati mbaya, umeifanya kuwa ajenda kwasababu hujasoma post ambazo nimekujibu.Wewe si unasema Messi anabebwa na FIFA pamoja na Infantino kisa alimkanyaga mchezaji wa Algeria, so hii ndio pattern iliyo tokeo leo vipi Olise nae anabebwa na FIFA pamoja na Infantino.
Sawa hii picha huyo ni Ake beki ya Uholanzi na hapo kwenye boksi la Uholanzi. Ulitaka refa afanye nini?
View attachment 3629441
Hata angeingia yeye mwenyewe Deschamps hakuna mahali Ufaransa ingeifunga Spain.
Ufaransa first half walikuwa wanacheza kama vile wao ndio wanaongoza moja na sec half walikuwa wanacheza kama vile wao wanaongoza 2 ukiacha hizi dakika za mwishoni
Atakuwa amestahili tuKikubwa ataechukua awe Ana stahili!?
Na Argentina piaArgentina si nacheza kesho na England?
Atakaetolewa ndo anacheza na ufaransa?
Aliyefika fainal ni span tu mpk ss
Tamba mzee...Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?
View attachment 3629443
View attachment 3629444
Mimi sina hali ngumu huku world cup ila wewe ndo una hali ngumuWatanzania wote tuna hali ngumu.
Usijifiche kwenye matokeo wakati stats za kitaifa zinatu group pamoja.
Jamaa atakuwa na msongo wa mawazo maana baada ya Cristiano wake kuwa na poor performance ever jamaa akahamia kwa Pemba, pemba nae kaondoka so jamaa anafosi wachezaji anao wakubali washinde kwa maandiko yake yake marefu Jamii Forums. AmechanganyikiwaScars mbona una malalamiko?
Apigwe tu akutane na mfarashaNa Argentina pia
Daaah π€£π€£π€£π€£ππ
Anaecheka mwanzo ndio atalia mwisho πDaaah π€£π€£π€£π€£
Upo vizuri ndugu...Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?
View attachment 3629443
View attachment 3629444
Kweli aiseeAnaecheka mwanzo ndio atalia mwisho π