2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Onyesha mtiririko wa hizo pattern sio unaongea tu.

Umeona kama hapo mimi nimekuanzia mbali tangu 2022

Na ninaweza kukuambia hata kipindi Messi anatangaza kustaafu nikakuungia dots zinazo link na hii corruption ambayo tunaiona saizi.
Wewe si unasema Messi anabebwa na FIFA pamoja na Infantino kisa alimkanyaga mchezaji wa Algeria, so hii ndio pattern iliyo tokeo leo vipi Olise nae anabebwa na FIFA pamoja na Infantino.

Sawa hii picha huyo ni Ake beki ya Uholanzi na hapo kwenye boksi la Uholanzi. Ulitaka refa afanye nini?
FB_IMG_1782066766620.jpg
 
Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?
Anayeweza kuwazuia ufaransa ni spain tu. Anawabonda vizuri sana. Bayern mwaka huu ilikua hivohivo ukikutana nayo unapigwa nyingi ila uliona walivyokutana na aseno. Walipigwa tatu kama wamesimama

Mwaka huu huu hicho kikosi kikiwa ndani wamekula chuma tano toka spain tena yamal kidogo atupie hat trick. Kwenye uero tena wamebondwa. Note this France hachukui kombe. Hua sikosei jama. Nitarudi kuwakumbusha

1000061082.jpg

1000061081.jpg
 
Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?




View attachment 3629443
View attachment 3629444

Dah, walipoteana, mpira walikua wanautafuta kwa tochi hahaaaaaa. Yani walitepeta, mbape akawa anajipigia tu 😄😄😄
 
Wewe si unasema Messi anabebwa na FIFA pamoja na Infantino kisa alimkanyaga mchezaji wa Algeria, so hii ndio pattern iliyo tokeo leo vipi Olise nae anabebwa na FIFA pamoja na Infantino.

Sawa hii picha huyo ni Ake beki ya Uholanzi na hapo kwenye boksi la Uholanzi. Ulitaka refa afanye nini?
View attachment 3629441
Hiyo picha sijaiweka kwa bahati mbaya, umeifanya kuwa ajenda kwasababu hujasoma post ambazo nimekujibu.

Huo mtiririko wa matukio wenye aim ya kibiashara na ushabiki ni upi ambao tuki connect na hilo tukio tunapata conclusion ya FIFA kumbeba Olise?

Mfano mimi nikiweka hoja ya Messi na Argentina kubebwa na FIFA naweza ku pointi mapenzi ya raisi wa FIFA kwa Messi.

Infantino alisema anatamani Messi abebe kombe la dunia. (Hii ni average point)

Baada ya kusema kauli hiyo, Argentina alipewa penati 5. Ni idadi ambayo mpaka sasa inashikiliwa na timu moja tu ya Argentina.

Mechi dhidi ya Netherlands Messi aliwakejeli bench la ufundi la Netherlands na hakupewa kadi ya njano, hapa sijahesabia ile handball kabisa (hii nayo ni average point)

Siku 9 kabla ya fainali FIFA na viongozi wa AFA walisaini mkataba wa mabilioni ya fedha yakitumwa kwenye account ambayo sio ya shirikisho la AFA (hii ni big point)

2026 Argentina inapangwa kwenye kundi dhaifu, bado mechi zake zinajaa controversial yenye matukio mengi yanayoibeba Argentina. (Average point)

Mechi dhidi ya Cape Verde, Infantino anaweka wazi mapenzi yake kuwa ameteseka pamoja na mashabiki wenzake wa Argentina. (big point)

Mechi dhidi ya Egypt, bao mbili za kutangulia zinamfanya Infantino akasirike jukwaani. (Average point)

Argentina anafanya comeback na kupata goli la ushindi, Claudio Tapia na Infantino wana hug kwa furaha. (Big point)

Infantino anagundua amefanya mistake anaamua kushika bendera ya Egypt kwenye mechi ya baadaye ili kuua soo kupitia tukio lake alilolionesha kwenye mechi ya Egypt la kukumbatiana na Claudio Tapia baada ya kushindwa kuhimili hisia. (Big point)

Hizi ndio baadhi ya pattern ambazo zinam link FIFA, Infantino kwenye upendeleo wa wazi amaofanyiwa Messi na Argentina.

Wewe hauwezi kuniwekea hii pattern kwa Olise hata kidogo.

Na hiyo nimeifanya tu briefly ila kuna mengi sana nikianza kuandika hapa itachukua muda pengine kuyamaliza.
 
Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?




View attachment 3629443
View attachment 3629444
Tamba mzee...
Ushindi umekukolea
 
Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?




View attachment 3629443
View attachment 3629444
Upo vizuri ndugu...
 
Back
Top Bottom