Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,415
- 109,975
Nimeamini kweli nina jicho la mpira. Haya niliyoyaandika hapa niliyazungumza pia mwezi wanne semifinals ya Uefa PSG vs Bayern watu walikua wanajua Bayern anapita mm nikakataa, ikatokea. Mimi nikasema pia French hatoboi kwa spain coz wao mpira wao wanategemea mbio tu. Mtu akishika mpira wanatupiana mipira mirefu so wakikutana na timu inayomiliki mpira wanapigwa hiyo mbinu ndo inayotumika na Barcelona pia kuchapa Madrid. Mimi sichambui mpira kwa mahaba natumia ubongo kutokana na watu wanavyocheza.
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?
Matokeo ya kutegemea mipira ya mbio mmeona forwards wa France walivyokua....?
Anayeweza kuwazuia ufaransa ni spain tu. Anawabonda vizuri sana. Bayern mwaka huu ilikua hivohivo ukikutana nayo unapigwa nyingi ila uliona walivyokutana na aseno. Walipigwa tatu kama wamesimama
Mwaka huu huu hicho kikosi kikiwa ndani wamekula chuma tano toka spain tena yamal kidogo atupie hat trick. Kwenye uero tena wamebondwa. Note this France hachukui kombe. Hua sikosei jama. Nitarudi kuwakumbusha